Kuna haja gani ya kujadili finance bill ndani ya Lisaa limoja bila majadiliano ya kina eti kisa wanawahi kumaliza Kabla ya saa 12, huu ni upuuzi kiwango cha juu sana , kwa nini wasiendelee kesho ili finance bill ipate Muda wa kujadiliwa kwa kina. Kwa taarifa tu finance bill ndo inatoa muongozo wa makusanyo ya kodi mbali mbali na hivyo kuipitisha haraka haraka kuna vitu vinafunikwa na vitawaumiza wananchi