Usanii na Vituko vya Interview

GUSSIE

JF-Expert Member
Dec 2, 2014
3,866
11,099
Kama umewahi kuhudhuria interview utakubaliana na mimi kuwa huko kumejaa ujanjaujanja sana sana

Kuna kazi unajua kabisa mpo ofisi moja na hicho cheo ameshaambiwa mtu fulani utakaimu na baadae hupewa barua kabisa kuwa yeye ndie bosi, Kituko kina kuja pale baada ya mwezi unakuta tangazo kwenye the Guardian na Dailynews eti wanahitaji mtu kwa kazi husika wakati ofisini mlishapandishana vyeo,
Unasafiri maelfu ya kilomita na kupoteza nauli huku watu wa panel walishamteua mtu tayari

Interview nyingi ni za usanii sana hasa kwenye mashirika na Taasisi fulani siwezi kuzitaja hapa ,Kuna siku nilikabidhiwa kitengo fulani na nilichaguliwa kutokana na kuwa mzee wa kuziba viraka najua wengi huko private mnajua kuziba kiraka ina maana gani kwa ufupi kuziba kiraka ni kupiga kazi yeyote ofisini isiyokuhusu kama muhusika hayupo au anadharula, Ghafla nikiambiwa barua yako hii hapa wewe ndie kazi yako sasa lakini tunaita interview next two weeks ,Siku ya interview jamaa walikuwa wanajisifia na vyeti vyao kumbe Mimi tayari nina barua, Huko kwenye interview muda wangu ulipofika ilikuwa ni kupiga story na panel za hapa na pale kuhusu kuwafundisha zaidi vijana wageni.

Kabla ya kuomba kazi umakini ni muhimu sana kuna Taasisi moja hivi huko wanaajiri ndugu za wafanyakazi sio lazima ndugu wa damu hata marafiki wa hao ndugu ndio hupewa nafasi kwanza, Nilienda siku moja nikaonana na Head of Human resouce and Adiministration nikaongea nae mengi sana kichekesho akaniuliza unayemtafutia kazi ni nani yako? nilishangaa sana baadae nikamwambie jibu tofauti kuwa ni Fresh from school akanipatia maswali ya interview wanayouliza na majibu yalikuwa maswali 10 yanaulizwa na Panel ya watu 5 kila mtu ana maswali mawili tu kuanzia yeye HR pamoja na External interviewers 2.Kuna mengi yanaendelea huko kwenye interview
Unaweza fanya interview kumbe hakuna kitu hapo kikubwa usikate tamaa
 
interview bongo ni upuuzi mtupu, unajikunja kujieleza jamaa wanakuchora tu maana washapanga watu wao.

niliahi fanya usaili na chama flani kinachohusika na wakulima, wauliza maswali ya usaili ni wajumbe nilicheka sana. maana jamaa alikuwa akiulizwa maswali anajibu kwa kimombo na kiswahili akapata yote ila akatemwa eti anao enda fanya nao kazi (wakulima) hawajui kimombo, mara anajidai na kiingereza chake.

wengi wa wasaili uwezo ni mdogo sana
 
Kama umewahi kuhudhuria interview utakubaliana na mimi kuwa huko kumejaa ujanjaujanja sana sana

Kuna kazi unajua kabisa mpo ofisi moja na hicho cheo ameshaambiwa mtu fulani utakaimu na baadae hupewa barua kabisa kuwa yeye ndie bosi, Kituko kina kuja pale baada ya mwezi unakuta tangazo kwenye the Guardian na Dailynews eti wanahitaji mtu kwa kazi husika wakati ofisini mlishapandishana vyeo,
Unasafiri maelfu ya kilomita na kupoteza nauli huku watu wa panel walishamteua mtu tayari

Interview nyingi ni za usanii sana hasa kwenye mashirika na Taasisi fulani siwezi kuzitaja hapa ,Kuna siku nilikabidhiwa kitengo fulani na nilichaguliwa kutokana na kuwa mzee wa kuziba viraka najua wengi huko private mnajua kuziba kiraka ina maana gani kwa ufupi kuziba kiraka ni kupiga kazi yeyote ofisini isiyokuhusu kama muhusika hayupo au anadharula, Ghafla nikiambiwa barua yako hii hapa wewe ndie kazi yako sasa lakini tunaita interview next two weeks ,Siku ya interview jamaa walikuwa wanajisifia na vyeti vyao kumbe Mimi tayari nina barua, Huko kwenye interview muda wangu ulipofika ilikuwa ni kupiga story na panel za hapa na pale kuhusu kuwafundisha zaidi vijana wageni.

Kabla ya kuomba kazi umakini ni muhimu sana kuna Taasisi moja hivi huko wanaajiri ndugu za wafanyakazi sio lazima ndugu wa damu hata marafiki wa hao ndugu ndio hupewa nafasi kwanza, Nilienda siku moja nikaonana na Head of Human resouce and Adiministration nikaongea nae mengi sana kichekesho akaniuliza unayemtafutia kazi ni nani yako? nilishangaa sana baadae nikamwambie jibu tofauti kuwa ni Fresh from school akanipatia maswali ya interview wanayouliza na majibu yalikuwa maswali 10 yanaulizwa na Panel ya watu 5 kila mtu ana maswali mawili tu kuanzia yeye HR pamoja na External interviewers 2.Kuna mengi yanaendelea huko kwenye interview
Unaweza fanya interview kumbe hakuna kitu hapo kikubwa usikate tamaa

Mkuu ungefanya kuzitaja kabisa hapa hizo taasisi ili kuwasaidia vijana wasiwe wanakopa nauli kutoka Sumbawanga kuja Dar kufanya usaili.
 
interview bongo ni upuuzi mtupu, unajikunja kujieleza jamaa wanakuchora tu maana washapanga watu wao.

niliahi fanya usaili na chama flani kinachohusika na wakulima, wauliza maswali ya usaili ni wajumbe nilicheka sana. maana jamaa alikuwa akiulizwa maswali anajibu kwa kimombo na kiswahili akapata yote ila akatemwa eti anao enda fanya nao kazi (wakulima) hawajui kimombo, mara anajidai na kiingereza chake.

wengi wa wasaili uwezo ni mdogo sana
Ni sahihi kabisa juzi kuna msela wangu kachoma nauli kutoka chuga kuja Dar..kumbe kwenye ile interview watu walishaandaliwa...wanamaliza interview kesho yake wanasikia watu wameshapigishwa contract
 
Ni sahihi kabisa juzi kuna msela wangu kachoma nauli kutoka chuga kuja Dar..kumbe kwenye ile interview watu walishaandaliwa...wanamaliza interview kesho yake wanasikia watu wameshapigishwa contract
iyo juzi hata mimi nimetimba usaili halmashauri udereva nikajiongeza kumuona hr ananambia nafasi 3 tayari zina watu imebaki moja (iyo ndo tunaipigania wote, akanitaka nitoe laki 3) nkaona upimbi huu nkasema ntakomaa...niliishia raundi ya kwanza
 
iyo juzi hata mimi nimetimba usaili halmashauri udereva nikajiongeza kumuona hr ananambia nafasi 3 tayari zina watu imebaki moja (iyo ndo tunaipigania wote, akanitaka nitoe laki 3) nkaona upimbi huu nkasema ntakomaa...niliishia raundi ya kwanza
Pole aseeh mkuu huu usanii sijui utaisha lini kwa kweli
 
16 Reactions
Reply
Back
Top Bottom