Shenkalwa
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 580
- 132
wamegundua kuwa cdm wana hoja ya msingi na kuna uwezekano wakashinda sasa hili isionekana kuwa mabadiliko yametokana na influence ya cdm badala yake wanataka michango ya vyama vingine ambayo hatutegemei kuwa na mpya zaidi ya kile walichokisema bungeni ili baadaye waseme ilikuwa mawazo ya vyama vyote.
Magamba wanataka wamtumie mke wao cuf ili akavuruge mazungumzo ndiyo maana wanataka vyama vingine vishirikishwe. Huu ni ujanja. Ni vizuri cdm wawe na msimamo kwamba wao kama cdm wameomba kukutana na raisi hawajaomba kukutanishwa na vyama vingine. Kwanza kuna chama kingine cha upinzani zaidi ya cdm?? Hivyo vinavyosemwa ni vya upinzani ni vya kitapeli tu na vimepandikizwa na hao hao magamba. cdm wasikubali ujinga huo