ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
wamegundua kuwa cdm wana hoja ya msingi na kuna uwezekano wakashinda sasa hili isionekana kuwa mabadiliko yametokana na influence ya cdm badala yake wanataka michango ya vyama vingine ambayo hatutegemei kuwa na mpya zaidi ya kile walichokisema bungeni ili baadaye waseme ilikuwa mawazo ya vyama vyote.
ktk hivyo vyama na CUF wamo? maana matusi waliyoporomosha wakati wa uchangiaji wa hiyo sheria yao, sipati picha wataongea nini. Ni heri ya nccr kuliko cuf, jamaa wanapumulia mashine