Taja nchi yoyote isiyolipa kodi duniani? Hata kwenye nyumba za ibada unalipa tozo a.k.a sadaka.Miaka sitini ya Uhuru bado nchi masikini; Unategemea tozo ndiyo zituletee maendeleo?!
Taja nchi yoyote isiyolipa kodi duniani? Hata kwenye nyumba za ibada unalipa tozo a.k.a sadaka.Miaka sitini ya Uhuru bado nchi masikini; Unategemea tozo ndiyo zituletee maendeleo?!
Sina muda wa kuelewesha maana ya Kodi Kama huelewi.Taja nchi yoyote isiyolipa kodi duniani? Hata kwenye nyumba za ibada unalipa tozo a.k.a sadaka.
Huna muda au , empty set mukichwa? Unaendeshwa na upepo wa mazwazwa wa chadema 😂😂😂pole sana .Sina muda wa kuelewesha maana ya Kodi Kama huelewi.
Kulipa sadaka unalazimishwa au unatoa kwa hiari? Usipotoa sadaka Ibadani kuna mtu anakuuliza??!!
halafu wewe nilisha kuignore sijui umerudije tenaHuna muda au , empty set mukichwa? Unaendeshwa na upepo wa mazwazwa wa chadema 😂😂😂pole sana .
Unaweza kudai cho chote lakini wenye akili wataelewa nani zwazwa kati yang na wewe.Huna muda au , empty set mukichwa? Unaendeshwa na upepo wa mazwazwa wa chadema 😂😂😂pole sana .
Waliposema 'connection fee' iwe 27,000 tu, sasa nimeelewa lengo lao.Leo Nyumba duni zenye umeme ukinunua umeme lazima utakatwa kodi ya jengo, hii ni kwa sababu hakuna mfumo wowote TANESCO unaoonyesha nyumba duni na nyumba bora. Mfumo wao unatambua namba ya mita tu baasi.
Je, ule usambazaji wa umeme wa REA vijijini ulilenga kuongeza kodi zaidi ?
View attachment 1899774
deleaLipeni kodi acheni kulalamika, mnalalamika kila siku nchi ni maskini mnataka ijengwe na nani?
Mama anaendelea kuwapiga watanzania nyundo za kichwani.
delea
Naondoka kuelekea huko mchana huu kujaribu kufanya tathmini
😂🤣🤣 sasa kiherehere cha nini kunijibu? Au we ndio empty set( 0)😆😆 , acha ushamba , kuwa huruhalafu wewe nilisha kuignore sijui umerudije tena
😆😆kamuulize erythrocyte , wewe na yeye nani kazidi uzwazwa(0)Unaweza kudai cho chote lakini wenye akili wataelewa nani zwazwa kati yang na wewe.