Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,567
- 217,911
Malipo yake yote yamekuwa kuteuliwa kuwa Mtendaji wa Kata ya Ngara Mjini, Wilaya ya Ngara Mkoani Kagera
Taarifa zilizofichwa zinaeleza kwamba kabla hajanunuliwa aliahidiwa kupewa mil 50 , lakini kwa bahati mbaya mpaka muda huu amelipwa mil 5 tu!
==
Mgombea Ubunge Buyungu 2018 Diwani wa Kata ya Gwarama 2015-2019