Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 13,369
- 9,746
Hii kitu Niliisikia japo kwenye Tamthilia ila nikaitafakari na nikaona ina kaukweli fulani
Prof alisema:-
Yuda alimsaliti Mwalimu wake Yesu... Akamuuza kwa Vipande 30 vya Pesa.
Aristotle na plato
Samson alisalitiwa na Delilla.
Bill gates na Steve Job n.k
Hizi ni Tabia za binadamu kabisa tena unakuta mtu ana rafikie mkubwa sana wa kama pete na kidole lakini siku ikifika anatoswa mbaya...
Kwenye siasa zetu nazo ndio zimeingia na huu usaliti mkuu tena kwa sasa umefikia usaliti ule wa kimakusudi..
Jk alimsariti E.L
Na sasa E.L amesaliti J.K hata kupokea simu aligoma... japo tuliambiwa kuwa urafiki wao haukuanzia barabarani ila kwa sasa tumeshafahamu.
Kuna Matukio mengi sana Duniani yametokea na kurekodiwa na mengi hayajarekodiwa naamini hata wewe msomaji hapo ushawahi msaliti mtu iwe mpenzi au rafiki.
Waweza ongeza watu waliowasaliti wenzao .
Mpaka njia na Amina.
Zitto na ...
Hamad Rash na Maalim
Lamwai naye
Prof alisema:-
Yuda alimsaliti Mwalimu wake Yesu... Akamuuza kwa Vipande 30 vya Pesa.
Aristotle na plato
Samson alisalitiwa na Delilla.
Bill gates na Steve Job n.k
Hizi ni Tabia za binadamu kabisa tena unakuta mtu ana rafikie mkubwa sana wa kama pete na kidole lakini siku ikifika anatoswa mbaya...
Kwenye siasa zetu nazo ndio zimeingia na huu usaliti mkuu tena kwa sasa umefikia usaliti ule wa kimakusudi..
Jk alimsariti E.L
Na sasa E.L amesaliti J.K hata kupokea simu aligoma... japo tuliambiwa kuwa urafiki wao haukuanzia barabarani ila kwa sasa tumeshafahamu.
Kuna Matukio mengi sana Duniani yametokea na kurekodiwa na mengi hayajarekodiwa naamini hata wewe msomaji hapo ushawahi msaliti mtu iwe mpenzi au rafiki.
Waweza ongeza watu waliowasaliti wenzao .
Mpaka njia na Amina.
Zitto na ...
Hamad Rash na Maalim
Lamwai naye