Usalama wa watoto wetu wanaotumia school bus.

lete rimoti

Senior Member
Aug 24, 2021
152
192
Mwanao anasoma shule yenye school bus?. Huwa unaangalia gari hiyo inakuwa na idadi ya wanafunzi wangapi? tukemee huu upuuzi tusije wapoteza watoto wetu
 
Kwa harakaharaka abiria wa hiyo school bus wankaribia 50!!! Baadhi ya watoa huduma ya school buses wanatamaa saana sana. Wanawapanga watoto kama mizigo ili wao wapate pesa zaidi

Serikali ingewawekea masharti ya idadi ya watoto wanaoruhusiwa kupanda kwa wakati mmoja kama ambavyo jiji la Dar lilivyowahi kuwawekea sheria ya kupaka rangi ya njano

Na hili wala sio kusubiri Rais au PM au Waziri wa Elimu au TAMISEMI walitolee tamko bali hata maofisa elimu wilaya kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya ndani wanaweza kulisimamia vizuri

Naungana na mleta uzi kutoa wito kwa wazazi na walezi wafuatilie kujua namna watoto wao wanavyosafirishwa kila asubuhi na jioni kwenda na kurudi shule na waikatar hali hii ya utesaji wa watoto
 
Kwa harakaharaka abiria wa hiyo school bus wankaribia 50!!! Baadhi ya watoa huduma ya school buses wanatamaa saana sana. Wanawapanga watoto kama mizigo ili wao wapate pesa zaidi

Serikali ingewawekea masharti ya idadi ya watoto wanaoruhusiwa kupanda kwa wakati mmoja kama ambavyo jiji la Dar lilivyowahi kuwawekea sheria ya kupaka rangi ya njano

Na hili wala sio kusubiri Rais au PM au Waziri wa Elimu au TAMISEMI walitolee tamko bali hata maofisa elimu wilaya kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya ndani wanaweza kulisimamia vizuri

Naungana na mleta uzi kutoa wito kwa wazazi na walezi wafuatilie kujua namna watoto wao wanavyosafirishwa kila asubuhi na jioni kwenda na kurudi shule na waikatar hali hii ya utesaji wa watoto
Well said mkuu. Naimani wamekusikia
 
Mimi watoto wangu bora nipate shida ya kuwapeleka na kuwachukua kuliko kuwatia kwenye school bus, wanajazwa kama mifugo
Kweli kabisa yaani kuna umuhimu kabla hawajaingia kwenye gari Mzazi ujiridhishe lasivyo bora utafute njia nyingine za usafiri
 
Back
Top Bottom