kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 587
Ndugu wana JF.
Nimebahatika kuongea na wafugaji watatu wa kuku wa nyama wa kisasa (broilers) hivi karibuni. Nimegundua kuwa siku hizi kuku wa nyama wanakuzwa kwa wiki tatu (3) hadi (4) tu. Madai yao ni kwamba wanafanya hivyo ili kupunguza gharama na kuweza kushindana sokoni.
Mbinu zinazotumika ni kutumia MADAWA mbalimbali mbayo hayakutengenezwa kwa kusudi hilo.
Tatito langu ni moja tu: Kama kwa upande wa nyama ya ng'ombe kuna mabwana nyama wanaokagua nyama kule machinjioni, je hawa VIFARANGA WA MADAWA ni jukumu la nani? manake ni vigumu kukagua chipsi-kuku.
Na ndio maana tatizo la hormone imbalance kwa watoto limeongezeka. Wanaotakiwa kuwa na testosterone (male) wanaibuka na oestrogen (female) & vice versa. Achilia mbali kansa na balaa nyingine.
Nionanvyo kuna JANGA linatunyemelea kama Watanzania tukiendelea na IGNORANCE YA KUTISHA katika kila jambo. Kiukweli tunauana wenyewe kwa wenyewe sababu ya fedha. Lakini naamini tunaweza kuepuka.
Nawasilisha.
Nimebahatika kuongea na wafugaji watatu wa kuku wa nyama wa kisasa (broilers) hivi karibuni. Nimegundua kuwa siku hizi kuku wa nyama wanakuzwa kwa wiki tatu (3) hadi (4) tu. Madai yao ni kwamba wanafanya hivyo ili kupunguza gharama na kuweza kushindana sokoni.
Mbinu zinazotumika ni kutumia MADAWA mbalimbali mbayo hayakutengenezwa kwa kusudi hilo.
Tatito langu ni moja tu: Kama kwa upande wa nyama ya ng'ombe kuna mabwana nyama wanaokagua nyama kule machinjioni, je hawa VIFARANGA WA MADAWA ni jukumu la nani? manake ni vigumu kukagua chipsi-kuku.
Na ndio maana tatizo la hormone imbalance kwa watoto limeongezeka. Wanaotakiwa kuwa na testosterone (male) wanaibuka na oestrogen (female) & vice versa. Achilia mbali kansa na balaa nyingine.
Nionanvyo kuna JANGA linatunyemelea kama Watanzania tukiendelea na IGNORANCE YA KUTISHA katika kila jambo. Kiukweli tunauana wenyewe kwa wenyewe sababu ya fedha. Lakini naamini tunaweza kuepuka.
Nawasilisha.