Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Hivi kweli viongozi wanakuwa salama wanapo kuwa ziarani?
Hapa muheshimiwa Pinda hicho kiti alicho simamia kingeteguka angepona kweli hapo? Na mifupa hiyo ya uzeeni si ingekuwa balaa hapo tunaanza kuhangaika mara maombi mara aende India kutibiwa na mambo mengine.