Usalama wa taifa wapewa nafasi ya U-PM Tanzania

Status
Not open for further replies.

Mwafrika wa Kike

JF-Expert Member
Jul 5, 2007
5,185
56
Kuna usemi kuwa watu wa usalama wa taifa huwa hawastaafu mpaka wanapokufa. Kutokana na yanayoendelea Tanzania ambapo vyombo vya ulinzi na usalama vimehusishwa na kashfa zinazoendelea karibuni za madini na wizi wa benki kuu, inatia shaka kuona kuwa nini kitaendelea baada ya Kikwete kuamua kumweka mwanausalama wa taifa kuwa waziri mkuu.

Ifahamike kabisa kwako mzee Mizengo kuwa ukileta vitisho bubu vilivyozoeleka toka kwa watendaji wa idara ya idara ya usalama wa taifa kwa wapinzani wa serikali basi ujue kuwa moto utawaka hapo Tanzania.

Kazi hii inafuatiliwa kwa makini!
 
Iron lady wa JF, tayari kwa mapambano.

Just getting started! kuna wengine wanasema kuwa Lowasa alikuwa mpole sana ndio maana ofisi yake ikadharauliwa na wakapendekeza apewe huyu mwanausalama Pinda!

Sina tatizo naye kama ataheshimu uhuru wa watu kujieleza na kuipinga serikali pale inapokosea. Lakini akiendeleza yale ambayo so far yanafanywa na baadhi ya wanausalama hapo bongo basi kutawaka moto!
 
Just getting started! kuna wengine wanasema kuwa Lowasa alikuwa mpole sana ndio maana ofisi yake ikadharauliwa na wakapendekeza apewe huyu mwanausalama Pinda!

Sina tatizo naye kama ataheshimu uhuru wa watu kujieleza na kuipinga serikali pale inapokosea. Lakini akiendeleza yale ambayo so far yanafanywa na baadhi ya wanausalama hapo bongo basi kutawaka moto!

Mwafrika wa kike, ninakubaliana na wewe kuwa Lowassa alikuwa mpole sana mpaka akashindwa kuwakemea wale wahuni waliosaini mkataba na richmond hata walipotaka kupewa dola mia mbili kwa siku bila kutoa huduma na kutaka mkataba wa miaka miwili badala ya wakati wa ukame tu.

Huyu Pinda awe mkali ili fedha zote zinazotoka IFM kwa ajili ya zahanati na dawa zitumbukie huko na siyo katika mifuko ya wahuni kama richmond.

Awe usalama wa taifa au baba lao lakini wananchi watumikiwe, wapewe huduma, barabara zijengwe, shule pamoja na vifaa vya kufunza viletwe, zahanati na dawa zije, hela za wagonjwa ukimwi zipelekwe kwa wagonjwa ukimwi na si kwa watu wenye afya zao wanaotaka kujineemesha bila tija, makampuni makini yatakayoleta ajira na kutoa huduma zinazoeleweka nakadhalika ndio zishabikiwe, kinyume na hapo hakitaeleweka maana kama mlivyoona dunia ya leo everyone is informed, hapa nilipo sijaongea na mtu yoyote lakini najua what happened in Dodoma na kila mtu anajua, that means we can only serve the people but not cheat them.

Mzee Pinda fanya vitu vyako, Napoleon aliondolewa, Mandela alikuja kuwa Raisi that means nothing is impossible, fanya kazi na tetea watanzania haswa wanyonge na bibi zetu waliokuwa vijijini bila dawa nakadhalika.

Kidumu na Mungu akusaidie.
 
Mwafrika wa kike, ninakubaliana na wewe kuwa Lowassa alikuwa mpole sana mpaka akashindwa kuwakemea wale wahuni waliosaini mkataba na richmond hata walipotaka kupewa dola mia mbili kwa siku bila kutoa huduma na kutaka mkataba wa miaka miwili badala ya wakati wa ukame tu.

Huyu Pinda awe mkali ili fedha zote zinazotoka IFM kwa ajili ya zahanati na dawa zitumbukie huko na siyo katika mifuko ya wahuni kama richmond.

Awe usalama wa taifa au baba lao lakini wananchi watumikiwe, wapewe huduma, barabara zijengwe, shule pamoja na vifaa vya kufunza viletwe, zahanati na dawa zije, hela za wagonjwa ukimwi zipelekwe kwa wagonjwa ukimwi na si kwa watu wenye afya zao wanaotaka kujineemesha bila tija, makampuni makini yatakayoleta ajira na kutoa huduma zinazoeleweka nakadhalika ndio zishabikiwe, kinyume na hapo hakitaeleweka maana kama mlivyoona dunia ya leo everyone is informed, hapa nilipo sijaongea na mtu yoyote lakini najua what happened in Dodoma na kila mtu anajua, that means we can only serve the people but not cheat them.

Mzee Pinda fanya vitu vyako, Napoleon aliondolewa, Mandela alikuja kuwa Raisi that means nothing is impossible, fanya kazi na tetea watanzania haswa wanyonge na bibi zetu waliokuwa vijijini bila dawa nakadhalika.

Kidumu na Mungu akusaidie.

Mkuu Pedro?

ha ha ha ha,

kidumu tena?!
 
Duh!!! Jamaa kumbe ni nyoka ? Wacha tumuone lakini naamini anajua JF haangaliwi nyoka wala nani ni kazi tu .

By the way mkuu wa takukuru Hosea kuna jumba lile kajengewa na mhindi nanihiii nalo litachukuliwa ?
 
Haishangazi Kwa Mtu Wa Usalama Wa Taifa Kuwekwa Hapo Kwenye Uwaziri Mkuu Na Kikwete Kwani Ni Mbinu Dhahiri Za Kuwashugulikia Wapinzani Na Wale Wote Wanao"vujisha" Taarifa Za Ufisadi!kikwete Anataka Serikali Iendeshwe Kwa Usiri..pamoja Na Vitisho!state Of Mind Ya Mwanausalama Wa Taifa Huyo"pinda" Ni Kupindisha Haki Za Wananchi Na Kuhakikisha Mambo Yanaendeshwa Style Hiyo Hiyo Ya "kiusalama Wa Taifa"ambapo Kila Mtu Ana Mtu Wake Wa Kumfuatilia..usishangae Ukiona Tunapata Shida Ya Kuletewa Nyeti Hapa Jf!mhh!haya We..
 
The thing is sasa hivi hata usalama wa taifa wamekuwa hawaaminiki, wanakiuka maadili ya kazi zao, na mbaya zaidi badala ya kulinda usalama wa taifa wamekuwa wanalinda usalama wa mafisadi, wezi na wahalifu wakubwa, usalama wa taifa kwao umekuwa hauna maana tena ila usalama wa mafisadi umekuwa ni muhimu zaidi, ndio maana huyu mheshimiwa Pinda anapoingia kwenye kiti inabidi tuwe na tahadhari, huenda yeye hajaja kufanya ufisadi huenda amekuja kuwalinda mafisadi, that is my big worry.
Tatizo letu wakati fulani huwa tunakuwa tunafurahia mambo bila kujua what exactly is going on. Sasa hivi kuna watu wengi wanatakiwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria kutokana na uchafu uliotokea, je BW PINDA will deliver on that, au atawalinda mafisadi????? usafi wake kwa sasa sio issue kubwa, sidhani kama serikalini kuna mtu anayeweza kuwa wa kwanza kumrushia jiwe mwanamke mzinzi!
 
The thing is sasa hivi hata usalama wa taifa wamekuwa hawaaminiki, wanakiuka maadili ya kazi zao, na mbaya zaidi badala ya kulinda usalama wa taifa wamekuwa wanalinda usalama wa mafisadi, wezi na wahalifu wakubwa, usalama wa taifa kwao umekuwa hauna maana tena ila usalama wa mafisadi umekuwa ni muhimu zaidi, ndio maana huyu mheshimiwa Pinda anapoingia kwenye kiti inabidi tuwe na tahadhari, huenda yeye hajaja kufanya ufisadi huenda amekuja kuwalinda mafisadi, that is my big worry.
Tatizo letu wakati fulani huwa tunakuwa tunafurahia mambo bila kujua what exactly is going on. Sasa hivi kuna watu wengi wanatakiwa kuchukuliwa hatua za kinidhamu na kisheria kutokana na uchafu uliotokea, je BW PINDA will deliver on that, au atawalinda mafisadi????? usafi wake kwa sasa sio issue kubwa, sidhani kama serikalini kuna mtu anayeweza kuwa wa kwanza kumrushia jiwe mwanamke mzinzi!
Huo ndo ukweli wenyewe..mbinu zote za Kikwete kuanzia alipounda kamati ya kuwahoji wananchi utajua tu anababaika na kujaribu kuchunguza kuwa hizi nyuuz zime liki vipi!Hivyo ili kulinda mambo yasiharibike tena akaamua kumchagua mwana usalama wa taifa ili ahakikishe usalama wa mafisadi na nyuuz haziwezi kulikishwa tena!
 
Nadhani ni wazi kwamba JK na watu wake wa karibu hawaelewi leakage nyingi zimetoka wapi... lakini ukweli ni kwamba watu wa Usalama wa taifa (baadhi waliochoshwa na ufisadi) wamekuwa waki-leak information. Hivyo hii theory ya kwamba wanataka kuweka a cap on information leaks inaweza kuwa kweli. Also some ministers were loose lips for other reasons, now they want unity.
But I would like to say that Tanzanians have tested democracy and now know that they cannot be intimidated. Personally namwona MP as eery and lifeless! But we will prevail hata huyo Putin wa Bongo! Na kama mtu alivyoandika katika thread nyingine inayomhusu PM huyu mpya: samaki mkunje angali mbichi! Inabidi na sisi tumkomaze (maana yeye alisema Lowassa alimkomaza - for what? I didn't like the sound of it), azoee kwamba hii si miaka ya Nyerere ya Mkapa au Lowassa, tumechoshwa!
Na hii ya Getrude Mongela kupongeza eti kwamba Lowassa kujiuzulu ni jasiri kwani kuna ving'ang'anizi huko jirani (i.e. Kibaki in Kenya) ajue ya kuwa kuna ving'ang'anizi pia hapa na ni wanaCCM!
2010 is the oppisiotion's to loose!
 
Nadhani ni wazi kwamba JK na watu wake wa karibu hawaelewi leakage nyingi zimetoka wapi... lakini ukweli ni kwamba watu wa Usalama wa taifa (baadhi waliochoshwa na ufisadi) wamekuwa waki-leak information. Hivyo hii theory ya kwamba wanataka kuweka a cap on information leaks inaweza kuwa kweli. Also some ministers were loose lips for other reasons, now they want unity.
But I would like to say that Tanzanians have tested democracy and now know that they cannot be intimidated. Personally namwona MP as eery and lifeless! But we will prevail hata huyo Putin wa Bongo! Na kama mtu alivyoandika katika thread nyingine inayomhusu PM huyu mpya: samaki mkunje angali mbichi! Inabidi na sisi tumkomaze (maana yeye alisema Lowassa alimkomaza - for what? I didn't like the sound of it), azoee kwamba hii si miaka ya Nyerere ya Mkapa au Lowassa, tumechoshwa!
Na hii ya Getrude Mongela kupongeza eti kwamba Lowassa kujiuzulu ni jasiri kwani kuna ving'ang'anizi huko jirani (i.e. Kibaki in Kenya) ajue ya kuwa kuna ving'ang'anizi pia hapa na ni wanaCCM!
2010 is the oppisiotion's to loose!

Mkuu naungana na wewe, this time wabunge wameonesha kuchoshwa lakini next time wananchi nao wanaweza kuonesha kuchoshwa, na hapo ndipo itakapokuwa kizungumkuti. Lazima tuwapongeze watu waliofanya kazi ya kulinusuru taifa, kufanya hizo taarifa zivuje haukuwa uhaini, lakini wahaini ni wale waliokuwa wanafanya njama za kujaribu kuficha hayo machafu.
Nitashangaa sana kama Kingunge, Makamba, na wengine ambao walijaribu bila mafanikio kuficha huo uchafu kwa manufaa yao, wataachwa kuendelea kuwepo madarakani, pamoja na kuwa kamati imewavua nguo. Lazima tuwapongeze sana watu waliofanya kazi kubwa kulinusuru taifa letu, including jamboforums.
 
Mkuu naungana na wewe, this time wabunge wameonesha kuchoshwa lakini next time wananchi nao wanaweza kuonesha kuchoshwa, na hapo ndipo itakapokuwa kizungumkuti. Lazima tuwapongeze watu waliofanya kazi ya kulinusuru taifa, kufanya hizo taarifa zivuje haukuwa uhaini, lakini wahaini ni wale waliokuwa wanafanya njama za kujaribu kuficha hayo machafu.
Nitashangaa sana kama Kingunge, Makamba, na wengine ambao walijaribu bila mafanikio kuficha huo uchafu kwa manufaa yao, wataachwa kuendelea kuwepo madarakani, pamoja na kuwa kamati imewavua nguo. Lazima tuwapongeze sana watu waliofanya kazi kubwa kulinusuru taifa letu, including jamboforums.

Huo ndo ukweli wenyewe..mbinu zote za Kikwete kuanzia alipounda kamati ya kuwahoji wananchi utajua tu anababaika na kujaribu kuchunguza kuwa hizi nyuuz zime liki vipi!Hivyo ili kulinda mambo yasiharibike tena akaamua kumchagua mwana usalama wa taifa ili ahakikishe usalama wa mafisadi na nyuuz haziwezi kulikishwa tena!


Mkuu Mushi heshima yako.
Usalama wa Taifa ni binadamu wana milango mitano ya fahamu kama mimi na wewe,Hawawezi kuzuia yote,tena maslahi ya lazima ya wananchi hata kama JK atawapa wizara zote.They are neither omnipotent nor Omniscient.
Kama SAMSON wa Vitabu vitakatifu alibembelezwa na dada DELILAakatoboa siri ya nguvu zake,sembuse hawa Intelligencia"
Mbona hawa ni watu tunaoishi na kutembea nao hapa hapa mitaani,Tena tunakula na kunywa nao?.
Pia Watanzania wa leo si kama wale wa enzi ya baba wa Taifa ambao walishika misingi ya Azimio la Arusha la kukubali zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa sisiem hata kama ni za kuwakandamiza,bali wengi ni wale wa Azimio la Zanzibar, la ruksa kuhoji kama kweli lina maslahi kwa Taifa au kwa mafisadi tu.

Hawa wasalama wa Taifa watende haki ndo watapata heshima,lakini wakianza kutuibia hapo kwenye fuko kuu(BOT) la pesa zetu,hawatakuwa salama.The Nation will b out of control
 
Huo ndo ukweli wenyewe..mbinu zote za Kikwete kuanzia alipounda kamati ya kuwahoji wananchi utajua tu anababaika na kujaribu kuchunguza kuwa hizi nyuuz zime liki vipi!Hivyo ili kulinda mambo yasiharibike tena akaamua kumchagua mwana usalama wa taifa ili ahakikishe usalama wa mafisadi na nyuuz haziwezi kulikishwa tena!

Mi nina uhakika ishu tutaendelea kuzipata tu hata akija nani maana walijisahau saaaaaaaaaana wakisahau kuwa sasa watu wanasoma na mitazamo inabadilika lakini pia technology (communications) imetusaidia japo kwa kiasi kuyafahamu haya. Sasa tuna idea japo kiduchu tu cha aina ya ngoma wanayocheza nyuma ya pazia.

Tuna mwangalia huyu Pinda kama atapinda kweli.

Kaka K
 
Mwafrika wa kike, ninakubaliana na wewe kuwa Lowassa alikuwa mpole sana mpaka akashindwa kuwakemea wale wahuni waliosaini mkataba na richmond hata walipotaka kupewa dola mia mbili kwa siku bila kutoa huduma na kutaka mkataba wa miaka miwili badala ya wakati wa ukame tu.

..kwahiyo kaonewa?
 
Nauliza hivi, eti EL ana mtoto anaitwa Richard Monduli?
Kwa dondooo zaidi, kijana huyu mara nyingi anapatikana Billcabas, anabadilisha magari ya kifahari na totoz kama chura na maji.
 
Mongela ana ama alikuwa na haki ya kumpongeza Fisadi mwenzake .Mongela she went far kulipa Taifa aibu kwenda kuiba ugenini .Shame on her and her CCM. Kutumia vibaya madaraka na leo akisimama na kumpa hongera Lowasa sitashangaa .

Kusema kwamba Pinda ataenda kupinda issues kisa he has been working for Usalama mimi nasema is too early sitaki kumhukumu nisije hukumiwa.Nakumbuka kuna watu kama Salva na Kilumanga waliletwa Ikulu kuziba mapendo ya kuspin na Kilumanga aki deal na kuzuia siri zisitoke lakini leo yako wapi .

Huu ni mwaka 2008 watu wana uzalendo but they fear for their life na the only option sasa ni JF. Nasema long live JF na hapa tutaandika bila aibu .Pinda kapata 98% akienda kupinda amesha ona mfano kwa Lowasa atapindishwa .
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom