Usalama wa Taifa waibana polisi; NI KUHUSU TUHUMA ZA MKE WA KIGOGO KUTAPELI...

Status
Not open for further replies.
Mke wa polisi kutoa rushwa kwa baraka ili kuwezesha wanafamilia wake kupata kazi Usalama wa Taifa ni kosa la kutoa rushwa.

Hii ni sura ingine namna Idara ya Usalama wa Taifa inavyopakwa matopa kwa mambo ambayo hayatokani na majukumu yake kwa Taifa.

kundi hili linastahiri adhabu.
 
sasa hao vijana nao duh... hawakuchukua hata muda kidogo kujifunza ajira za usalama wa taifa zinapatikana vipi? kadizooo!!!
Mkuu nafikiri tatizo hapa ni kubwa kuliko tunavyolifikiria.
The National Security Codes of conduct and operations inaelekea ziko in tatters!

wanaofanya utapeli huo si ajabu walikwisha fanikiwa katika mipango ya awali.
Siku hizi utakuta vijana wakijitapa wako TISS kiwazi wazi, exposing themselves to obvious dangers and blowing their cover.
Tuliosoma miaka mingi iliyopita na kupitia JKT tunajua jinsi new recruits wa Idara hii walivyokuwa wanachujwa.

Chombo kama TISS inabidi kibadilike kiutendaji kulingana na mabadiliko ya muelekeo wa nchi kisiasa.
Na hapo ndio wajanja wachache wametumia mwanya huo wa "grey area" kuingiza utapeli wao kwa vile wanajua hakuna vetting ya aina yoyote.


Kwa kifupi sioni kama utapeli uliofanywa na "vigogo" au "mke wa kigogo" kuwa ni bahati mbaya, yamekuwapo hayo kwa muda mrefu tu.
 
Mke wa kigogo huyo alikataa kuzungumzia tuhuma hizo akisema: “Hayo yote yapo kwa wakubwa, mimi siwezi kuongelea kitu kilicho ngazi za juu yangu

Kwa hiyo huyu mama nae ni Polisi au UwT?
 
Hapa ndio utajua uongo wa huyu jamaa.Pamoja na cheo chake na umri wake bado anatapeliwa!!
 
Kwa hiyo huyo mheshimiwa sana Kamanda wa Polisi alijua mchezo mzima wa hao kina Baraka,ikiwamo kuomba rushwa wafanikishe vijana kuajiriwa,lakini bado alitoa ruhusa kwa mkewe kuendelea na huo mpango?

Kama ni hivyo basi nchi hii itazinduliwa na kiama! Kamanda wa Polisi anashiriki kutoa rushwa,Kamanda wa Polisi haamini katika haki bali pesa mbele,Kamanda wa Polisi hajiongezi na kutaka kufatilia kwa nini ajira kwa pesa,kamanda wa Polisi anakaa kimya ili watu wake wafaidike, kamanda wa Polisi.

well said,

Bila kujali kwamba kitendo cha mke wake kitaichafua Idara ya usalama wa Taifa..... ni hatari kwa Taifa. utetezi ambao hauna mshiko na ambao hautarajiwi kutoka kwa kiongozi anayesimamia sheria za nchi (polisi)
 
huyo mke wa kigogo itakuwa kaingiza wengi usalama wa taifa kwa njia hiyo kabla ya dili kushtukiwa! hata RAMA wa dr ulimboka huwenda ni product yake!
 
Mpaka sasa hakuna aliyewataja hao watuhumiwa kwa majina yao halisi imebaki tu ni mke wa kigogo, anayejua majina ayataje hapa ili watu wawe makini nao.
 
Kunakofukuta moshi ujue Moto upo nyuma yake!! Nawaomba kwanza usalama wa Taifa Wajichunguze kwanza!! Utakuta watu wenye Ajira sampuli hii ni Nusu ya Kombania yao!! Ndio Maana Hata huyo Kamanda Hakushtuka kwani alijua ni kama ilivyo desturi ya Majeshi Yote!! Ajira Kwa Kununua!!
 
NDIO USIRI WA SERIKALI YETU... atakayekwenda Mahakamani atakuwa ni kigogo Mshona VIATU na sio KIGOGO MKE WA TAPELI.

Tunaficha Majina ya WEZI!

Kaaazi kweli kweli. Mpaka tutakapojirekebisha juu ya hili wabadhilifu wataendelea kupeta.
 
sasa hao vijana nao duh... hawakuchukua hata muda kidogo kujifunza ajira za usalama wa taifa zinapatikana vipi? kadizooo!!!

Hapo ndo unaona bora wamelizwa! vjana hawa wasomi wa leo wamekuwa wavivu mno kujifikirisha,haiwezekani mtu from no where akwambie kazi ya usalama inauzwa laki 7,akukutanishe uwanja wa taifa na akulaze guest tegeta we umo tu!
 
Mi mwenyewe nilipigwa 20000/=tu nyingine niliwaambia kwamba mpaka nione wamefikia wapi ikawa sanaa na mimi hela ya kuunga unga mpaka leo naona sanaa tu kumbe tuko wengi tuanzishe chama cha waliotapeliwa

hiyo 20000/= ulimpa nani.? Wewe unawafahamu waliokutapeli kwa nini hutaki kuwamwaga hapa kwa faida ya wengi..au umeona ni haki yako kuibiwa.??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom