they are just people with very bad intention to our country nchi nyingine wangefumuliwa na kusukwa upyaUnamaanisha usiku mlilala wote?
they are just people with very bad intention to our country nchi nyingine wangefumuliwa na kusukwa upyaUnamaanisha usiku mlilala wote?
Kwema kiasi ila shemeji yako tumbo la uzazi linamsumbua kidogoUlisikia vibaya dogo lakini kwema nyumbani??
Mkuu hujambo.Ulisikia vibaya dogo lakini kwema nyumbani??
they are just people with very bad intention with our country nchi nyingine wangefumuliwa na kusukwa upya
Na Ki Bastola kiunoni,WTF"Unajua mimi ni nani?"
Pole sana lakini anatibiwa??Kwema kiasi ila shemeji yako tumbo la uzazi linamsumbua kidogo
Sijambo mambo vipi???Mkuu hujambo.
Pole sana lakini anatibiwa??
Hawa ni tunu kwa watawalathey are just people with very bad intention to our country nchi nyingine wangefumuliwa na kusukwa upya
Basi ndugu yangu uguza mgonjwa salamaMatibabu anapata kiasi
Basi ndugu yangu uguza mgonjwa salama
Pamoja sana boss wanguShukran sana ndugu
Aiseeee kumbe hawa wanahuruma sana kwa wanyama wetu hadi twiga wamempandisha ndege hongera zaoNdio hawa waliosindikiza twiga akipanda ndege?? Kama ndio hawa asanteni
Aaah poapoa mkuu,hapo atleast nimekusomaTulia mkuu!
Yule bwana nilikuja kumgundua kuwa yupo huko na hadi kesho siwezi kumwambia wala kuonesha kama najua kazi yake hiyo ila yote niliyokuwa nafanya kwake usiku ile nilitaka kujua kabadilika kwa kiasi gani maana namjua sana.
Katika kitu ambacho TISS wamekiweza na nitaendelea kuwaogopa ni kutengeneza majasusi wa kike ambao huwezi kuwafahamu. Tofauti kabisa na majasusi wa kiume ambao tunawaona mtaani au wale wa siku hizi wapenda ujiko: Majasusi wa kike zaidi ya wale wa makao makuu, ubalozini na mambo ya nje huwezi kuwajua kabisa. Nina uhakika wako wengi sana lakini leo hii nikisema uwataje hata kumi nje ya kada hizo hapo juu huwezi hata kidogo.Bora wasiijue tu hivyo hivyo
tipori outik ach silipo choliki burika!Nina Nia na Udhubutu
natamani sana niwe Mfanyakazi wa hii idara
je,nifanyaje ili niwe mmoja wao?
Aaah poapoa mkuu,hapo atleast nimekusoma
Katika kitu ambacho TISS wamekiweza na nitaendelea kuwaogopa ni kutengeneza majasusi wa kike ambao huwezi kuwafahamu. Tofauti kabisa na majasusi wa kiume ambao tunawaona mtaani au wale wa siku hizi wapenda ujiko: Majasusi wa kike zaidi ya wale wa makao makuu, ubalozini na mambo ya nje huwezi kuwajua kabisa. Nina uhakika wako wengi sana lakini leo hii nikisema uwataje hata kumi nje ya kada hizo hapo juu huwezi hata kidogo.
Katika hili TISS wametuweza wanaume wa kitanzania, yaani wametuweza mno. Tena kwa tunavyopenda chini ndiyo kabisaa hawatumii nguvu. Teh teh teh teh kazi sanaaaa.