Rusumo one
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,077
- 3,607
Kila ufanyacho Ni intelligence Sasa hiyo kazi unayoitafuta ni ipi mkuu? Sema unataka ulipwe mshahara kwa jukumu Hilo, unafanya Intel kwa faida ya familia siyo umma Sasa ukitaka kulipwa wajuvi watakuona na watakutafuta wait sio wewe uwatafuteNaitaman sana hiyo kazi wakuu.