Seriously unasema nini ? Didn't he mentioned someone jeshini Mwanza sasa wewe kwa ilimu ya Mulugo bado huoni hilo ???
Ofcoz wana muda wa kutengeneza ugaidi feki na Mwigulu lkn mambo kama haya hawana muda !!
Ofcoz wana muda wa kutengeneza ugaidi feki na Mwigulu lkn mambo kama haya hawana muda !!
Sasa usalama wa taifa wafanye nini kwenye hili suala??!!!
Maana ishu iko facebook, unataka wawaombe facebook wafunge akaunti? Watatoa sababu gani?? Maana kama ni mabandiko yenye kusambaza chuki tu, yamejaa kwenye internet na mbaya zaidi hakuna sheria ya kimataifa inayoshughulika na wavuti. Nchi hii inaweza kuwa na sheria fulani nchi nyingine isiwepo. Sijajua Facebook wao wana policy gani kwenye masuala kama haya.
Au ulitaka wamtafute huyu jamaa ambaye hata hatujui anatoka nchi gani, anaweza kuwa mkenya, mrundi, au yeyote yule. Pili huyu jamaa kama ni jamaa kweli hata kama ni mtanzania huenda hata hayupo Bongo kitu kinachofanya kazi ya kumfuatilia kuwa ngumu zaidi.
Kifupi sioni ni kwa namna gani TCRA au UWT wanaweza kushughulika na hili suala ukizingatia sheria zilizopo.
Vitu vingine tusikimbilie kulaumu tu ni lazima tuangalie na mazingira ya suala lenyewe.