ALWATAN KIZIGO
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 539
- 642
Habari zenu wakuu nachukua hatua hii muhimu kwa ajili ya kuokoa nchi yangu ya tanzania dhidi ya mtu huyu ambaye ni wazi kabisa anauhusiano na kikundi cha alshaba cha nchini somalia.
Huyu bwana anatumia mtandao wa FACEBOOK kueneza mafunzo yake anakwenda kwa jina la KIO NGOZI. Ameandaa CD za mafunzo ya kujitoA muhanga na chuki dhidi ya watu wa dini nyingine pia kuna CD ya maelekezo juu tya kutumia bunduki aina ya AK 47.
Ana wafuasi wengi sana akiwemo AZIZI JUMA ambaye ni askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania kambi ya ANGA PASIANSI MWANZA.
Chukueni hatua mapema dhidi ya watu hawa kabla hawajaleta madhara hapa nchini kama wale wa kilindi manake pia wana mahusiano nao pia.
Huyu bwana anatumia mtandao wa FACEBOOK kueneza mafunzo yake anakwenda kwa jina la KIO NGOZI. Ameandaa CD za mafunzo ya kujitoA muhanga na chuki dhidi ya watu wa dini nyingine pia kuna CD ya maelekezo juu tya kutumia bunduki aina ya AK 47.
Ana wafuasi wengi sana akiwemo AZIZI JUMA ambaye ni askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania kambi ya ANGA PASIANSI MWANZA.
Chukueni hatua mapema dhidi ya watu hawa kabla hawajaleta madhara hapa nchini kama wale wa kilindi manake pia wana mahusiano nao pia.