kwa hiyo ile movie ya " salt,* inahusika. anzisheni sub subWao wenyewe wameelemewa na mapandikizi kutoka nchi jirani. Usalama wa Taifa nowadays is all about hype, and we very much know hype's no substitute for lack of talent.
kwa hiyo ile movie ya " salt,* inahusika. anzisheni sub subWao wenyewe wameelemewa na mapandikizi kutoka nchi jirani. Usalama wa Taifa nowadays is all about hype, and we very much know hype's no substitute for lack of talent.
Mipaka ipo tangu asili ya duniaKwani mimpaka ya nchi iliwekwa na Mungu?
Sidhani kama yupo hata mmoja. Hakuna
Wee acha umama, S.Africa wanazindua ndege? SRG?Tungekuwa mbali kiuchumi tunazindua nini kama sio ndege, reli ya SGR n.k tungekuwa tunazindua binadamu? Acheni porojo za vijiweni.
Bahati mbaya naona imekuwa vice versa.. Naona kama sie ndo tumepandikiziwa..
wacha kukariri maishaTISS fanyeni kazi ya kuipaisha nchi kiuchumi.Nyerere alitumia usalama wa Taifa katika harakati za ukombozi wa mtu mweusi kusini mwa jangwa la sahara na nyie tupaisheni kwa kuipigania nchi kiuchumi kupitia majirani wanaotuzunguka
Mkuu usitudharau,tupo sana tu na tunapiga kaz kwa umakini mkubwa. Tumempandikiza Chahali huko Glasglow kama hujui
Daah haya Serukamba naona hujafunga mlango wako na kufuli wezi wataingia ulielie mpaka Benaco mpuuzi sana wewe
wacha kukariri maisha
usalama wapo kulinda maslahi ya nchi sio kuchagulia nchi jirani Rais,inapobidi inaweza kufanya kama ni kwa usalama wa Tanzania tu
Ila waulize wazee wakupe habari ya Joyce Banda alivyopoteza urais,hajaamini mpaka leo,na upate pia calculations zilzomsimika Emmerson Dumbuzo Mnangagwa madarakani ndio utajua Tiss ni shirika lingine kabisa
Sawa boss
Hehe unamaanisha serukamba ni wa makamba au bujumbura?
Si lazima wamwambie lakini wewe ukikuta mtu kapanda juu ya mti na amekalia tawi la huo mti huku analikata je unahitaji kuambiwa kwamba tawi likianguka naye ataanguka nalo??Usilaumu kitu ambacho ukijui asa ulikuwa unataka wakipandiza raisi wakwambie au??!!
Makamba
ila kwa Papa Mopao Mokonzi imekuwa mtihani... Labda watumie ile mbinu ya kuharibu mali zake and then Sukuma ndani!!Wao kazi yao ni kupandikiza mapindikizi nadani ya upinzani hiyo ya kupandikiza Rais wa nchi kwao ni kubwa sana
Dhahiri wewe ni mtoto. Miaka 95 iliyopita unayosema hali ilikuwa mbaya zaidi. Ndio kwanza kizazi cha ukombozi cha akina Mwl. Nyerere kilikuwa kinazaliwa. Walaumu wakoloni kwa kutojenga SGR wakati huo. Waliweza kujenga S. Africa kwetu hawakufanya hivyo, ndio Rais Magufuli anafanya...tumuunge mkono tujenge taifa letu.Wee acha umama, S.Africa wanazindua ndege? SRG?
Sasa hivi tulitakiwa tuwe mbali sana kiuchumi...
Mambo ya ndege,SRG,BRT yalitakiwa yawe yamesha fanywa miaka ya 95 huko