- Thread starter
- #21
fatilia mwenyewe MkuuIkitokea ya uspy wa nje kama UK najulishwe soon.
Sio ya Tz nahitaji kuwa undercover wa nchi nyingine.
fatilia mwenyewe MkuuIkitokea ya uspy wa nje kama UK najulishwe soon.
Sio ya Tz nahitaji kuwa undercover wa nchi nyingine.
hapana mimi sio nyoka MkuuPoa NYOKA tumekusumoa..naona vijana watachangamkia kipindi kingine..
Mm cna uelewa juu ya mambo hayo mkuu sorryyah mkuu nimetoa elimu nilichosikia na mimi, unaweza kuongeza elimu zaidi
Mkuu umeongea kinyume hapoMm cna uelewa juu ya mambo hayo mkuu sorry
Mm cna uelewa juu ya mambo hayo mkuu sorryyah mkuu nimetoa elimu nilichosikia na mimi, unaweza kuongeza elimu zaidi
Haya Mkuu ingawa nshakuelewa poa Mkuu..fatilia mwenyewe Mkuu
Kimsingi sasa hivi hawa jamaa wanapita sana vyuoni, hasa vya diploma na certificates. Wakifika wanajifanya tu kama kampuni ya recruitment so mnapeleka vyeti wanakagua then mnaandika sponsors ambao sio blood related(sijui kwanini) then watawaambia tutawapigia simu. Na kweli baada ya mda mtapigiwa simu kwa wenye vigezo japo hawatawaambia kama mnaitwa kitengo. Just in short.Habari wanajamvi, kumekuwa na ulinganishi,ukosoaji na maulizo kwa nini nchi zilizoendelea mashirika yao ya kijasusi hutangaza nafasi za kazi kwa uwazi kabisa kama zinavyotangazwa kazi nyingine kwenye vyombo mbalimbali kama magazetini,mitandaoni n.k. lakini ni tofauti kwa nchi zetu. Baadhi ya wakosoaji huwa ni watu walio katika nchi hizi zilizoendelea hivyo kwao huona kitu cha kawaida ila hushangaa kwetu halipo hilo jamabo na kutoa mifano ya mashirika kama CIA, MI6 n.k wakitangaza nafasi za kazi kwa uwazi kabisa
Ukweli ni kwamba kazi hizi hutangazwa kama kawaida ila tu hazitangazwi direct kabisa kwa kuambiwa unajiriwa na idara ya ujasusi. Utakuta tangazo linahitaji wapishi, wafagiaji n.k lakini unachoenda kukifanya unafanya ukiwa mwajiriwa wa idara. Hii hutokea kulingana na mahitaji ya wakati huo. ila sisemi wote huajiriwa hivyo hapana,ila ikitokea kwa mfano idara ina uhitaji wa madereva,ina maana zinaweza kutangazwa tu nafasi za kazi za udereva.
Ngoja nitoe mifano hai, majuma kadhaa nyuma kulitangazwa nafasi kwa ajili ya kuwapata vijana wa kuwapa mafunzo ya upigaji picha ili wazunguke mashuleni nchi nzima kwa ajili ya kupiga picha, lakini tangazo lilionesha ni kazi ya mda mfupi na ukilipwa kwa kila kichwa kiasi fulani tu cha kawaida, lakini kweli ilikuwa ni idara. Je vijana wa ngapi wenye degree unaweza ukawaambia kuwa ukapatiwe mafunzo ya kupiga picha alafu azunguke nchi nzima kwa kila kichwa elfu moja wakakubali? Aliyekubali maana yake yupo tayari kufanya kazi yeyote mahala popote bila kujali kwamba ana elimu gani.
Mfano wa pili kulitangzwa kazi kwa watu wenye Diploma ya IT lakini walikuwa wanaenda kuwa waajiriwa wa idara, imagine usawa huu wa masuala ya IT yaliyovyopamba moto lakini unasikia wanahitajika wa Diploma. Kwangu tafsiri yake kwanza matarajio ni kwamba wengi wao watakuwa ni vijana wadogo, kwa hiyo watakuwa ni watiifu kwani wengi wao hawajaanza maisha,wengi wao watakuwa hawajaingia kwenye masuala ya ndoa, wengi wao watakuwa wana njaa na kiu ya mafanikio lakini pia miili yao inaweza kuhimili mikiki mikiki ya mafunzo kwa urahisi zaidi.
Ni mawazo yangu binafsi, karibuni kwa michango
Zikitangazwa tujulishane wadau nipo tayari na ndio ndoto yangu kubwa.
Wakitangaza tena nushtue au huu mwaka hawatangazi
Hata lingekua ni tangazo la nafasi...Mpaka hapa inaonyesha hii kazi hamuiwezi!!hata mimi nataka hiyo kazi
Unataka ukishaipata ufanye nini?Na Mimi natafuta hiyo Kazi asee