Usalama wa taifa acheni ukuwadi kwa CCM! Ni kukosa weledi!!

Status
Not open for further replies.

LATTICE BOND

JF-Expert Member
May 30, 2011
219
48
Kwa Kweli Waafrika ni LAANA!!
Yaana Serikali inatumia mahela meengi kupambana na mtu mwepesi kama Lema!! Kisa eti kataka haki itendekek kwenye uchaguzi wa meya!!
Angalia yanayofanyika Mwanza wamachinga hawana amani kisa ... Eti walishinikiza matokeo halisi yatolewe!!
Angalia MBeya Meya anauawa na wagomvi wake wa kibiashara propaganda za chini chini zinaenezwa eti huenda CDM wanahusika!!
BADALA YA HAWA WANAOJIITA USALAMA WA TAIFA KULINDA MALI ZETU ZINAZOPANDISHWA NDEGE KILA SIKU KWENDA ULAYA, WAMEKALIA MAMBO YA KIPUMBAFU KABISA!!!!!
National security must change their mind set!!!!! its not about CCM its about NATIONAL PROSPERITY!!
 
Well said, while they should start with what comes first in priority, they ought to look also at the least, if any. But they have ignored the prior at the expense of the inferior. alas to them
 
Zamani nilifikiri wanakisaidia chama tawala nimekuja kugundua hata chenyewe hakina usalama nikafikiri wanamsaidia rais kwenye utawala wake na kumjengea image nzuri kwa watu lakini mbona anazidi kuchukiwa.... kweli binafsi sielewi kazi yao ni ipi labda iliyobaki ni physical security ya rais ambayo hata bouncer anaweza kuifanya.
 
Huwezi kujua umuhimu wa mti hadi pale utakapoukata. Kwa sasa usalama wa taifa unawatukana lakini ukumbuke wanacheza kiasi kikubwa kuhakikisha unalala na kuamka asubuhi. Amani na utulivu uliopo haujaja bure bwana mdogo. Sasa kama unaona umechoka amani basi jaribu kuleta hoja zako za kichochezi ili nchi iwe kama Libya labda utapata akili na kuona thamani ya amani.
 
Zamani nilifikiri wanakisaidia chama tawala nimekuja kugundua hata chenyewe hakina usalama nikafikiri wanamsaidia rais kwenye utawala wake na kumjengea image nzuri kwa watu lakini mbona anazidi kuchukiwa.... kweli binafsi sielewi kazi yao ni ipi labda iliyobaki ni physical security ya rais ambayo hata bouncer anaweza kuifanya.

Kwahiyo ni sawa na Mabonsa! siyo kuwa rais analindwa na askali wa JWTZ?
 
Huwezi kujua umuhimu wa mti hadi pale utakapoukata. Kwa sasa usalama wa taifa unawatukana lakini ukumbuke wanacheza kiasi kikubwa kuhakikisha unalala na kuamka asubuhi. Amani na utulivu uliopo haujaja bure bwana mdogo. Sasa kama unaona umechoka amani basi jaribu kuleta hoja zako za kichochezi ili nchi iwe kama Libya labda utapata akili na kuona thamani ya amani.

Kwani Libya kuna tatizo gani?

Mbona unaimba wimbo wa zilipendwa!
 
Hv hawa usalama wa Taifa wapo kweli? Inakuaje Twiga wanaibiwa na kupakizwa kwenye ndege! Dah ctak kuamini kama kuna usalama wa Taifa.
 
Huwezi kujua umuhimu wa mti hadi pale utakapoukata. Kwa sasa usalama wa taifa unawatukana lakini ukumbuke wanacheza kiasi kikubwa kuhakikisha unalala na kuamka asubuhi. Amani na utulivu uliopo haujaja bure bwana mdogo. Sasa kama unaona umechoka amani basi jaribu kuleta hoja zako za kichochezi ili nchi iwe kama Libya labda utapata akili na kuona thamani ya amani.
Unajua kwa nini Nape alichagua kuanza kampeni zake vijijini hasa Mtwara na Singida......kule wengi hawajui tofauti ya amani na utulivu au upole na woga na wewe unaweza kuanzia huko si humu JF.
 
Kwa Kweli Waafrika ni LAANA!!
Yaana Serikali inatumia mahela meengi kupambana na mtu mwepesi kama Lema!! Kisa eti kataka haki itendekek kwenye uchaguzi wa meya!!
Angalia yanayofanyika Mwanza wamachinga hawana amani kisa ... Eti walishinikiza matokeo halisi yatolewe!!
Angalia MBeya Meya anauawa na wagomvi wake wa kibiashara propaganda za chini chini zinaenezwa eti huenda CDM wanahusika!!
BADALA YA HAWA WANAOJIITA USALAMA WA TAIFA KULINDA MALI ZETU ZINAZOPANDISHWA NDEGE KILA SIKU KWENDA ULAYA, WAMEKALIA MAMBO YA KIPUMBAFU KABISA!!!!!
National security must change their mind set!!!!! its not about CCM its about NATIONAL PROSPERITY!!
tayari nshapata strass
 
Huwezi kujua umuhimu wa mti hadi pale utakapoukata. Kwa sasa usalama wa taifa unawatukana lakini ukumbuke wanacheza kiasi kikubwa kuhakikisha unalala na kuamka asubuhi. Amani na utulivu uliopo haujaja bure bwana mdogo. Sasa kama unaona umechoka amani basi jaribu kuleta hoja zako za kichochezi ili nchi iwe kama Libya labda utapata akili na kuona thamani ya amani.
Tanzania kuna amani!? na imeletwa na usalama wa taifa!?..yaani wale ni uozo tupu hawana msaada wowote kwa taifa letu
 
Huwezi kujua umuhimu wa mti hadi pale utakapoukata. Kwa sasa usalama wa taifa unawatukana lakini ukumbuke wanacheza kiasi kikubwa kuhakikisha unalala na kuamka asubuhi. Amani na utulivu uliopo haujaja bure bwana mdogo. Sasa kama unaona umechoka amani basi jaribu kuleta hoja zako za kichochezi ili nchi iwe kama Libya labda utapata akili na kuona thamani ya amani.

kawaeleze watu wa nyamongo na bulyankulu kuwa usalama wa taifa unalinda usalama na amani yao, nafikiri wewe ndio unaongoza kwa kuwa na mawazo ya kimla na umekuwa kipofu kiasi kwamba hata keyboard sijui huwa unaoinaje. usalama wa taifa wa Tanzania tangu lini ukawa unajishugulisha na usalama wa nchi yetu wakati mali zetu kuanzia madini mpaka wanyama wanaibiwa mchana kutwa na jua linawaka hakuna wanachokifanya. usalama wa taifa huko wapi wakati pesa za umma ndani ya UDA zinaingizwa ktk account ya mtu miaka miwili imepita na usalama wa taifa wako wamelala usingizi. usalama wa taifa inabidi uwe restructured na kutenganishwa mbali kabisa na siasa ili ubakie mhimili wa taifa no matter who is on the power.
 
Huwezi kujua umuhimu wa mti hadi pale utakapoukata. Kwa sasa usalama wa taifa unawatukana lakini ukumbuke wanacheza kiasi kikubwa kuhakikisha unalala na kuamka asubuhi. Amani na utulivu uliopo haujaja bure bwana mdogo. Sasa kama unaona umechoka amani basi jaribu kuleta hoja zako za kichochezi ili nchi iwe kama Libya labda utapata akili na kuona thamani ya amani.

..toa propaganda zako za reja reja, amani gani unayoongelea ww? vile hakuna vita! rubbish! hakuna chombo chochote cha usalama hapa tz, wangekuwa wanajua kazi yao hao mamia ya wasomali wangevuka kila siku kuingia tz kinyemela? tushukuru Mungu tu vile bado anatutakia heri.
 
sheria ya TISS iliyopitishwa na Mh. benjamin mkapa imewanyima usalama wa taifa nafasi ya kutenda bali wamebaki kama washauri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom