LATTICE BOND
JF-Expert Member
- May 30, 2011
- 219
- 48
Kwa Kweli Waafrika ni LAANA!!
Yaana Serikali inatumia mahela meengi kupambana na mtu mwepesi kama Lema!! Kisa eti kataka haki itendekek kwenye uchaguzi wa meya!!
Angalia yanayofanyika Mwanza wamachinga hawana amani kisa ... Eti walishinikiza matokeo halisi yatolewe!!
Angalia MBeya Meya anauawa na wagomvi wake wa kibiashara propaganda za chini chini zinaenezwa eti huenda CDM wanahusika!!
BADALA YA HAWA WANAOJIITA USALAMA WA TAIFA KULINDA MALI ZETU ZINAZOPANDISHWA NDEGE KILA SIKU KWENDA ULAYA, WAMEKALIA MAMBO YA KIPUMBAFU KABISA!!!!!
National security must change their mind set!!!!! its not about CCM its about NATIONAL PROSPERITY!!
Yaana Serikali inatumia mahela meengi kupambana na mtu mwepesi kama Lema!! Kisa eti kataka haki itendekek kwenye uchaguzi wa meya!!
Angalia yanayofanyika Mwanza wamachinga hawana amani kisa ... Eti walishinikiza matokeo halisi yatolewe!!
Angalia MBeya Meya anauawa na wagomvi wake wa kibiashara propaganda za chini chini zinaenezwa eti huenda CDM wanahusika!!
BADALA YA HAWA WANAOJIITA USALAMA WA TAIFA KULINDA MALI ZETU ZINAZOPANDISHWA NDEGE KILA SIKU KWENDA ULAYA, WAMEKALIA MAMBO YA KIPUMBAFU KABISA!!!!!
National security must change their mind set!!!!! its not about CCM its about NATIONAL PROSPERITY!!