denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,511
- 68,141
Msukule huo, una reply utumbo kwenye kila comment bora uonekane.Imebidi nicheke tu
Msukule huo, una reply utumbo kwenye kila comment bora uonekane.Imebidi nicheke tu
Hujalazimishwa ku reply kila comment hadi utujazie uchafu wako wa utumbo mpana hapa.Kwamba hata hizi mnazolipishwa na Samia mara 3 zaidi nae ana aleji na matajiri?
Wewe akili zako ndogo sana huwezi kuhitimisha vinginevyoKwa coment hii nahitimisha kwamba kumbe watz uelewa wetu ni mdogo sana juu ya mambo ya usalama
Man this is africaUSALAMA WA RAIS SIO WINGI WA MAGARI NA HELKOPTA
Man this is africa
Abeid Karume, Thomas Sankara, Laurent Kabila, Juvenal Habyarimana-Burundi , Samuel Doe- Liberia, Dadis Camara, Murtala Mohammed-Nigeria na wengine wengi walidhuriwa na watu waliokuwa karibu nao kabisa(inner circle), sio walalahoi wa huko mtaani wanaokingwa na kuta za magari, mabunduki na vifaru.Man this is africa
Cheki mwanamke mwenzake anayeongoza nchi ya tatu kwa utajiri duniani View attachment 1978868
Anayetoa misaada anapanda Noah mpokea misaada anapanda Vx landcruiserCheki mwanamke mwenzake anayeongoza nchi ya tatu kwa utajiri duniani View attachment 1978868
Hii ni aibu kubwa sana. Mantiki ya aina hii ya ulinzi ni ya ajabu sana. Okay hata kama sasa kweli kuna tishio watazuiaje na wanayemlinda yuko juu ya gari? au hata wakimuona mhalifu, si wataua watu wengi tu including wao wenyewe? Hii approach sijui wameitoa wapi badala ya kuendeleza passive approach ambayo viongozi wote hupewa? Wajameni, mnamharibu sana taswira ya mama na nchi yetu.
Nadhani ulinzi wa aina hii wame focus zaidi mikoa ya Kaskazini.Hii ni aibu kubwa sana. Mantiki ya aina hii ya ulinzi ni ya ajabu sana. Okay hata kama sasa kweli kuna tishio watazuiaje na wanayemlinda yuko juu ya gari? au hata wakimuona mhalifu, si wataua watu wengi tu including wao wenyewe? Hii approach sijui wameitoa wapi badala ya kuendeleza passive approach ambayo viongozi wote hupewa? Wajameni, mnamharibu sana taswira ya mama na nchi yetu.
Nilishangazwa hata Rais wa Zanzibar alipoenda kufunga maonyesho huko Arusha alikuwa anasindikizwa na mabunduki na makombati kama vile pale kuna Boko Haram wakujitoa muhanga. Ni shida kweli wajameni.
kwani kaskazini kuna tishio gani dhidi ya mama? Kama ni show of force sawa, lakini dhidi ya nani?Nadhani ulinzi wa aina hii wame focus zaidi mikoa ya Kaskazini.
Wamekariri kwasababu ya historia na matendo ya mwendazake kwa watu wa kule.kwani kaskazini kuna tishio gani dhidi ya mama? Kama ni show of force sawa, lakini dhidi ya nani?
Fact...Rais amebeba dhamana ya nchi na itakuwa ujuha kutokumlinda Rais wetu. Hatari yeyote kwa Rais ni hatari kwa nchi na amani ya watu. Mungu mlinde Rais wangu, ilinde nchi yangu na utulinde raia wake. Maana bila amani na usalama hakuna alitakayekuwa salamaKatika Mambo ambayo sijawai kuyakataa katika taifa letu ni juu ya ulinzi wa Rais.
Mwalimu Nyerere alinusulika kupinduliwa zaidi ya Mara tatu kwa sababu ya misimamo yake na uzalendo wake kwa nchi.
Ukitaka ulinzi wako uwe wa kawaida kuwa shamba la Bibi.
Magufuli watu walimlalamikia Sana juu ya ulinzi wake kuwa mkubwa lakini Mimi niseme kabisa Magufuli hakuwa na ulinzi mkubwa kivile Kama watu wanavyosema maana jamaa alikuwa anajiamini Sana.
Ulinzi aliokuwa nao ni vile idara ilimlazimisha kwamba upo kisheria na kulingana na jinsi alivyokuwa anaishi na watu alitakiwa kuwa na ulinzi mkubwa zaidi labda yasingetokea hata yaliyotokea mwezi 3 ingawa tunasema mipango ya Mungu haina makosa.
Rias Samia alindwe na ikiwezekana aongezewe ulinzi swala la ulinzi wa Rais wetu lisifanywe kisiasa kwa sababu sio swala la kisaisa ni la mstakabali wa Nchi kwa ujumla.
Wote Ni mashaidi kilichomtokea Rais Samia akiwa ziarani Morogoro Yule traffic aliyekatiza mbele ya Gari lake bila kuonekana kwani alitakiwa kukamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi ila akaachwa.
Angalia kilichomkuta Rais wa Ufaransa baada ya kupokea kibano kutoka kwa raia baada ya kujifanya mtu wa watu unaweza kuwa mtu wa watu kweli lakini not to the extent!!
Rais wa Nchi anakuwa na Marafiki wengi na Maadui wengi kulingana na anayoyafanya yeye sio maraika.
Kuna watu wanahoji juu ya ulinzi wake kwa Sasa kuimalishwa na Mimi nawakumbusha ulinzi wa Rais ni kwa mjibu wa katiba na sheria za Nchi Wala sio matakwa yake binafsi.
Hivyo ulinzi wake usiusishwe na siasa zetu maana Hata Rais akiwa mzuri vipi anawindwa Kuna makundi ambayo hayakubaliani naye but hata Kama makundi hayo hakuna Rais anatakiwa kulindwa anapokuwa salama na taifa linakuwa salama atafanya maamuzi kwa Uhuru na Hali bila kumhofia mtu yeyote.
Naomba usalama wa Rais ubakie kuwa chini sheria na katiba na watu waliopangwa kumlinda sisi wengine hakuna tunachojua.
Sisi tubishane kwa hoja zetu za kisiasa kuchumi na Mambo ya kutafuta katiba mpya.
Tukumbuke rais akiwa salama na sisi tunakuwa salama Kama Nchi.
Mngejua taharuki iliyotokea Hayati Magufuli alipokufa akiwa madarakani Mngeomba kabisa ulinzi wa Rais Samia uongezwe maradufu.
Rais wetu alindwe asiwe na presa na mtu yeyote na kikundi chochote juu ya maamuzi yake Rais Ni wa Nchi sio wa ccm Wala kikundi chochote akipata tatizo tatizo ni la Nchi naomba Rais aongezewe ulinzi kila Mara pale inapobidi.