NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,032
- 4,028
Acha hizo wewe na Dr Nicas Guido Mahinda(RIP) unamuacha wapi? Alikuwaga waziri wa viwanda na mbunge wa Morogoro vijijini.Pia alikuwa muhadhiri wa chuo kikuu cha dar alifundisha Inorganic chemistry.Ila najua unatania tu kufurahisha watu kama hutanii umri wako sio mkubwa hujui historia.Je Askofu Telesphory Mkude unamuacha wapi?Uwongo wako huo ,ni mlugulu wakwanza msomi toka tumepata Uhuru