Mpandisha mishahara
JF-Expert Member
- Mar 1, 2014
- 1,699
- 1,455
Nimeinakili kutoka .
TANZANIA INVESTEMENT ADVENTURERS 01:57 Makala
[https://3]
Ikulu (State House) ya nchi ya Tanganyika sasa Tanzania lijengwa kwa namna ya kipekee na Wajerumani mwaka 1891 na gavana wa Kihuni Chakosi Dikwe na kutumika kama ngome ya gavana. Iliharibiwa wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia. Baada ya vita ya kwanza ya Dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa kikoloni wa Waingereza na hapo ngome hiyo (state house) iliitwa Nyumba ya Serikali “Government House”na ilijengwa tena mwaka 1922. Majengo hayo yamejengwa kwa ubora wa pekee na ni ya kihistoria kwani yalikuwa ni Ngome za magavana. Eneo la ikulu hiyo lilikuwa na ukubwa wa ekari 30 likianzia barabara ya Ohio ilipo Mahakama ya Rufani mpaka Hospitali ya Aghakhan kuizunguka bahari. Makazi haya ya rais nchini Tanzania yaliko Kaskazini Mashariki mwa jiji la Dar katika nyuzi 2 kutoka usawa wa bahari ndio makazi ya kiongozi wa nchini yaliyohatarini zaidi kuliko makazi ya rais yeyote barani Afrika kwa sasa.
............................................................................
Makala hii ipo katika kitabu kiitwacho "Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi" kilichoandikwa na Yericko Nyerere.
Huyu yeriko sikumwelewa
TANZANIA INVESTEMENT ADVENTURERS 01:57 Makala
[https://3]
Ikulu (State House) ya nchi ya Tanganyika sasa Tanzania lijengwa kwa namna ya kipekee na Wajerumani mwaka 1891 na gavana wa Kihuni Chakosi Dikwe na kutumika kama ngome ya gavana. Iliharibiwa wakati wa vita kuu ya kwanza ya dunia. Baada ya vita ya kwanza ya Dunia Tanganyika ilikuwa chini ya utawala wa kikoloni wa Waingereza na hapo ngome hiyo (state house) iliitwa Nyumba ya Serikali “Government House”na ilijengwa tena mwaka 1922. Majengo hayo yamejengwa kwa ubora wa pekee na ni ya kihistoria kwani yalikuwa ni Ngome za magavana. Eneo la ikulu hiyo lilikuwa na ukubwa wa ekari 30 likianzia barabara ya Ohio ilipo Mahakama ya Rufani mpaka Hospitali ya Aghakhan kuizunguka bahari. Makazi haya ya rais nchini Tanzania yaliko Kaskazini Mashariki mwa jiji la Dar katika nyuzi 2 kutoka usawa wa bahari ndio makazi ya kiongozi wa nchini yaliyohatarini zaidi kuliko makazi ya rais yeyote barani Afrika kwa sasa.
............................................................................
Makala hii ipo katika kitabu kiitwacho "Ujasusi wa Kidola na Kiuchumi" kilichoandikwa na Yericko Nyerere.
Huyu yeriko sikumwelewa