Usajiri wa laini za simu unaonesha ni jinsi gani watanzania wazito wa kuelewa mambo

Hismastersvoice

JF-Expert Member
Jan 26, 2013
18,585
22,184
TCRA kupitia mitandao ya simu imetutaka kuanzia tarehe 1 mwezi wa 5 nasisitiza kuanzia na si mwisho, mwisho hawakutaja kwenye ujumbe, sasa tunaoshabikia kuwa mwisho tarehe 1 mwezi wa 5 taarifa hiyo tumeipata wapi!
Ukweli ni kuwa hatupendi kusoma ujumbe tunaotumiwa kwa kuamini kuwa kila kitu tunajua na kutokana na hilo ndipo tunapojikuta tunapongeza nyongeza ya muda ambayo haipo.
Watanzania tuache tabia ya ujuaji tusome kwa making taarifa tunazopewa.
 
Hivi unajua tulianza kutumia bila kusajili, miaka ya 2009/2010 tukslazimishwa kusajiri kwa makaratasi huku tukijaza form maalum. Miaka ya 2016/2017 zilipotoka kadi za mpiga kura hizi, wakasema tukaweke mapicha yetu. Mwaka huu baada ya kutoka vitambulisho vya NIDA wamesema tukaweke madole!!!!. Ni usumbufu wa kiwango cha kati, wapo wengi hawakuandikisha na mh Rais jana alilizungumzia pale Mbeya
 
Hivi unajua tulianza kutumia bila kusajili, miaka ya 2009/2010 tukslazimishwa kusajiri kwa makaratasi huku tukijaza form maalum. Miaka ya 2016/2017 zilipotoka kadi za mpiga kura hizi, wakasema tukaweke mapicha yetu. Mwaka huu baada ya kutoka vitambulisho vya NIDA wamesema tukaweke madole!!!!. Ni usumbufu wa kiwango cha kati, wapo wengi hawakuandikisha na mh Rais jana alilizungumzia pale Mbeya
Ni yaleyale anayosema mleta mada. Hoja yako na ya mleta hoja ni mada mbili tofauti.
 
Nilimsikiliza Mheshimiwa jana akijidai eti anatangua maagizo, Nikajisemea watu kwa kulishwa matango pori hatujambo!
 
Huwa nasema siku zote wasomi wa Tanzania ndio sababu ya nchi hii kutokuendelea.. Kama database ya nida ipo na watu walijisajiri kwa kwa kuchukuliwa fingerprints kwanini Hao TCRA na NIDA wasiunge mifumo ili data za MTU aliechukuliwa fingerprints wakati anachukua kitambulisho cha taifa iyasaidie makampuni ya simu kwenye kuuza laini zao.

Kuna watu wapo kwenye mifumo ya TRA na wachukuliwa fingerprints kwa kuchukua labda leseni za udereva, lakini unashangaa wasomi Wetu ( vichwa maji ) watamtaka MTU huyu pia eti kusajiri laini ni mpaka aende kupeleka fingerprints pale nida .. Ujinga mtupu. Wanashindwa vipi kuunga hii mifumo ??? Hivi hili suala linahitaji rocket science????
 
Hapa nawatetea TCRA watu walisajiri kwa vitambulisho tofauti tofauti, Kitambulisho cha kura kina majina mawili na initial katikati wakati leseni zingine hadi zina majina hivyo ni ngumu kujua John Juma Innocent ndo yupi kati ya watatu hawa ili finger print zao ziuungwe kwenye line zao pia. Hivyo zoezi hili ni muhimu zaidi ili kuhakiki utambulisho wa kila mtu nakusaodia watu wengi zaidi kupata vitambulisho vya taifa
Huwa nasema siku zote wasomi wa Tanzania ndio sababu ya nchi hii kutokuendelea.. Kama database ya nida ipo na watu walijisajiri kwa kwa kuchukuliwa fingerprints kwanini Hao TCRA na NIDA wasiunge mifumo ili data za MTU aliechukuliwa fingerprints wakati anachukua kitambulisho cha taifa iyasaidie makampuni ya simu kwenye kuuza laini zao.

Kuna watu wapo kwenye mifumo ya TRA na wachukuliwa fingerprints kwa kuchukua labda leseni za udereva, lakini unashangaa wasomi Wetu ( vichwa maji ) watamtaka MTU huyu pia eti kusajiri laini ni mpaka aende kupeleka fingerprints pale nida .. Ujinga mtupu. Wanashindwa vipi kuunga hii mifumo ??? Hivi hili suala linahitaji rocket science????
 
TCRA kupitia mitandao ya simu imetutaka kuanzia tarehe 1 mwezi wa 5 nasisitiza kuanzia na si mwisho, mwisho hawakutaja kwenye ujumbe, sasa tunaoshabikia kuwa mwisho tarehe 1 mwezi wa 5 taarifa hiyo tumeipata wapi!
Ukweli ni kuwa hatupendi kusoma ujumbe tunaotumiwa kwa kuamini kuwa kila kitu tunajua na kutokana na hilo ndipo tunapojikuta tunapongeza nyongeza ya muda ambayo haipo.
Watanzania tuache tabia ya ujuaji tusome kwa making taarifa tunazopewa.
Kuna mifano ya mambo kama hayo yameleta shida sana….kuna mahala leo hii bila kitambulisho cha utaifa hupati huduma…. na kuna wengine walishwahi ambiwa wasiingie maeneo ya mikoa Fulani kisa vitambulisho vya utaifa
 
Ni yaleyale anayosema mleta mada. Hoja yako na ya mleta hoja ni mada mbili tofauti.
Na huu ndio ujuaji wa kijinga. Yaani utakuta mada inasema hivi na yeye anaongea vingine na kwa akili ya kibongo utakuta wanaacha mada ya msingi na kuanza hoja ya huyu jamaa.
 
Hapa nawatetea TCRA watu walisajiri kwa vitambulisho tofauti tofauti, Kitambulisho cha kura kina majina mawili na initial katikati wakati leseni zingine hadi zina majina hivyo ni ngumu kujua John Juma Innocent ndo yupi kati ya watatu hawa ili finger print zao ziuungwe kwenye line zao pia. Hivyo zoezi hili ni muhimu zaidi ili kuhakiki utambulisho wa kila mtu nakusaodia watu wengi zaidi kupata vitambulisho vya taifa
Sijui Kama umeelewa mantiki ya nilichosema. Hivi mtu kama kwenye kitambulisho cha kura amejiandikisha kwa majina mawili inayosema wewe kama Juma K. Hassan na Cha Taifa akawa kasajiliwa kwa majina matatu yaani Juma Kavishe Hassan , hiyo tofauti ndio iwe sababu ya kulifanya hili zoezi kuwa legit ????



Kwani si kuna picha kwenye kila profile ya MTU ??
 
Huwa nasema siku zote wasomi wa Tanzania ndio sababu ya nchi hii kutokuendelea.. Kama database ya nida ipo na watu walijisajiri kwa kwa kuchukuliwa fingerprints kwanini Hao TCRA na NIDA wasiunge mifumo ili data za MTU aliechukuliwa fingerprints wakati anachukua kitambulisho cha taifa iyasaidie makampuni ya simu kwenye kuuza laini zao.

Kuna watu wapo kwenye mifumo ya TRA na wachukuliwa fingerprints kwa kuchukua labda leseni za udereva, lakini unashangaa wasomi Wetu ( vichwa maji ) watamtaka MTU huyu pia eti kusajiri laini ni mpaka aende kupeleka fingerprints pale nida .. Ujinga mtupu. Wanashindwa vipi kuunga hii mifumo ??? Hivi hili suala linahitaji rocket science????
Mkuu ni moja ya sehemu ya upigaji. Wakifanya hivo jua kuna watu watakosa kazi ya kufanya.Kupata namba ya NIDA ni sh 100,Unajua ni kiasi gani kwa watanzania wote?

Unaweza kuwa unataka huduma flani,utaambiwa Kitambulisho cha taifa, barua ya mwenyekiti na vikorokoro kibao wakati hicho Kitambulisho cha taifa kina kila kitu.
 
Mkuu ni moja ya sehemu ya upigaji. Wakifanya hivo jua kuna watu watakosa kazi ya kufanya.Kupata namba ya NIDA ni sh 100,Unajua ni kiasi gani kwa watanzania wote?

Unaweza kuwa unataka huduma flani,utaambiwa Kitambulisho cha taifa, barua ya mwenyekiti na vikorokoro kibao wakati hicho Kitambulisho cha taifa kina kila kitu.
We hiyo system yao yenyewe haifanyi Nazi hata upige mara 1000 hawakuletei chaguo la kulipia kwa m-pesa, tigo pesa au ezypesa ama kwa njia ya Salio la kawaida
 
ni mwendelezo wa kutetea asiyoyajua au tu aonekabe naye ni msomi.

ongeza taarifa muhimu kabisa zinazoondoa utata; ambazo NIDA wamehakiki zaidi ya hao wa cards za simu:
ukiacha majina hata yenye itials, kuna
-tarehe ya kuzaliwa
-makazi
-majina ya wazazi wote/ke na me
-elimu
-kazi
-picha
-uthibitisho wa uongozi wa mtaa
-viambatanisho vya vyeti kutoka mamlaka nyingine

hivi hayo yote hayaondoi utata wa majina? kwaio mfanano wa majina mawili au matatu utaangukia hadi wapi makazi na tarehe ya kuzaliwa?

tunaenda kupoteza muda na nauli na brunch tukishinda kwenye msululu wa kurudia jambo lililorahisishwa na teknolojia.
Sijui Kama umeelewa mantiki ya nilichosema. Hivi mtu kama kwenye kitambulisho cha kura amejiandikisha kwa majina mawili inayosema wewe kama Juma K. Hassan na Cha Taifa akawa kasajiliwa kwa majina matatu yaani Juma Kavishe Hassan , hiyo tofauti ndio iwe sababu ya kulifanya hili zoezi kuwa legit ????



Kwani si kuna picha kwenye kila profile ya MTU ??
 
Sijui Kama umeelewa mantiki ya nilichosema. Hivi mtu kama kwenye kitambulisho cha kura amejiandikisha kwa majina mawili inayosema wewe kama Juma K. Hassan na Cha Taifa akawa kasajiliwa kwa majina matatu yaani Juma Kavishe Hassan , hiyo tofauti ndio iwe sababu ya kulifanya hili zoezi kuwa legit ????



Kwani si kuna picha kwenye kila profile ya MTU ??
kuna watu wengi wamesajili line kwa vitambulisho vya wengine na pia kuna ambao wanacheza na mawakala wanafanyiwa usajili wa magumashi halafu hizo namba wanaanza kutumia kwa mambo yao ya ovyo ovy,o fingerprint itakua uthibitisho kabisa kwamba aliepatiwa line ndo mmiliki halali maana hutaweza kumsajilia mtu line kimagumashi kwa kitambulisho cha mtu mwingine
 
Hivi unajua tulianza kutumia bila kusajili, miaka ya 2009/2010 tukslazimishwa kusajiri kwa makaratasi huku tukijaza form maalum. Miaka ya 2016/2017 zilipotoka kadi za mpiga kura hizi, wakasema tukaweke mapicha yetu. Mwaka huu baada ya kutoka vitambulisho vya NIDA wamesema tukaweke madole!!!!. Ni usumbufu wa kiwango cha kati, wapo wengi hawakuandikisha na mh Rais jana alilizungumzia pale Mbeya
mimi nishajili mpaka nimechoka, alafu huko mtaani mawakala wao hawajui kuandika, jina Arusha wanaandika alusha, ashura wanaandika ashula, yani mimi nasubiri mpaka mtamnzania wa mwisho asajili ndio nami nisajili
 
kuna watu wengi wamesajili line kwa vitambulisho vya wengine na pia kuna ambao wanacheza na mawakala wanafanyiwa usajili wa magumashi halafu hizo namba wanaanza kutumia kwa mambo yao ya ovyo ovy,o fingerprint itakua uthibitisho kabisa kwamba aliepatiwa line ndo mmiliki halali maana hutaweza kumsajilia mtu line kimagumashi kwa kitambulisho cha mtu mwingine
Unaongea usichokijua , kampuni zote za simu kwa sasa zinafanya usajili kwa mfumo wa KYC ambapo mteja huchukuliwa taarifa zake zote mpaka kupigwa picha na kitambulisho chake kinapigwa picha pia. Huwezi kutumia kitambulisho cha mtu kusajilia laini yako na ukifanya hivyo ni kosa kisheria. .... Mfumo wa kyc unalinganisha picha ya kwenye kitambulisho na picha anayokupiga wakala zisipomatch hiyo laini haifanyi kazi . case zilizopo ni wewe unaenda kununua lain na kujisajiri kwa majina, picha na kitambulisho chako na kumpatia MTU mwingine laini atumie. Lakini kujisajiri kwa kitambulisho cha mtu mwingine huo ni uongo . ulizia utaambiwa.



Mfumo wa kyc una kila kitu
 
Unaongea usichokijua , kampuni zote za simu kwa sasa zinafanya usajili kwa mfumo wa KYC ambapo mteja huchukuliwa taarifa zake zote mpaka kupigwa picha na kitambulisho chake kinapigwa picha pia. Huwezi kutumia kitambulisho cha mtu kusajilia laini yako na ukifanya hivyo ni kosa kisheria. .... Mfumo wa kyc unalinganisha picha ya kwenye kitambulisho na picha anayokupiga wakala zisipomatch hiyo laini haifanyi kazi . case zilizopo ni wewe unaenda kununua lain na kujisajiri kwa majina, picha na kitambulisho chako na kumpatia MTU mwingine laini atumie. Lakini kujisajiri kwa kitambulisho cha mtu mwingine huo ni uongo . ulizia utaambiwa.



Mfumo wa kyc una kila kitu
inaweza ikawa kweli ila kuna watu kibao huku mitaani tupo nao na laini zao zimesajiliwa kimagumashi na wanazitumia kwa mambo yasiyo mema, lazima kuna loopholes wanazotumia hasa wengi wanacheza na hawa mawakala fingerprint bado naona itasaidia hii system ya sasa bado
 
inaweza ikawa kweli ila kuna watu kibao huku mitaani tupo nao na laini zao zimesajiliwa kimagumashi na wanazitumia kwa mambo yasiyo mema, lazima kuna loopholes wanazotumia hasa wengi wanacheza na hawa mawakala fingerprint bado naona itasaidia hii system ya sasa bado
Huwezi kuzuia hiyo hali kwa 100% ndio maana licha ya mifumo mizuri ya utengenezaji wa passport za kusafiria ila kuna watu wanatengeneza passport feki.. Hivyo hivyo kwenye laini za simu.. Watu wanasajili hizo laini feki...


Issue ni sheria zipo ila hazifuatwi. Makampuni ya simu huwa yanapigwa faini kwa kusajili liaini za simu kiholela .. Kingine tcra watoe elimu watu wafuate taratibu za kusajili laini. Sasa wewe unasajili laini za simu kwa kitambulisho cha MTU mwingine halafu unaweka Pesa , siku ukisahau namba ya siri ndio imekula kwako .. Vitu ni very sensitive , laini za simu zimeungwa na mifumo ya kibenk.



Naomba kusema kitu watanzania kupitia wasomi Wetu wanafanya kazi za hovyo mnoooooo. Kuna vitu vinafanyika unabaki kusikitika tu
 
Huwezi kuzuia hiyo hali kwa 100% ndio maana licha ya mifumo mizuri ya utengenezaji wa passport za kusafiria ila kuna watu wanatengeneza passport feki.. Hivyo hivyo kwenye laini za simu.. Watu wanasajili hizo laini feki...


Issue ni sheria zipo ila hazifuatwi. Makampuni ya simu huwa yanapigwa faini kwa kusajili liaini za simu kiholela .. Kingine tcra watoe elimu watu wafuate taratibu za kusajili laini. Sasa wewe unasajili laini za simu kwa kitambulisho cha MTU mwingine halafu unaweka Pesa , siku ukisahau namba ya siri ndio imekula kwako .. Vitu ni very sensitive , laini za simu zimeungwa na mifumo ya kibenk.



Naomba kusema kitu watanzania kupitia wasomi Wetu wanafanya kazi za hovyo mnoooooo. Kuna vitu vinafanyika unabaki kusikitika tu
ni mwendelezo wa kutetea asiyoyajua au tu aonekabe naye ni msomi.

ongeza taarifa muhimu kabisa zinazoondoa utata; ambazo NIDA wamehakiki zaidi ya hao wa cards za simu:
ukiacha majina hata yenye itials, kuna
-tarehe ya kuzaliwa
-makazi
-majina ya wazazi wote/ke na me
-elimu
-kazi
-picha
-uthibitisho wa uongozi wa mtaa
-viambatanisho vya vyeti kutoka mamlaka nyingine

hivi hayo yote hayaondoi utata wa majina? kwaio mfanano wa majina mawili au matatu utaangukia hadi wapi makazi na tarehe ya kuzaliwa?

tunaenda kupoteza muda na nauli na brunch tukishinda kwenye msululu wa kurudia jambo lililorahisishwa na teknolojia.
Tunaweza tofautiana mawazo bila kebehi, , mie nimesema naunga mkono zoezi la utambulisho kwa njia ya bio data (finger Printer) na itakuwa bora zaidi kama lilivyounganishwa na kitambulisho cha taifa. Kwasababu usajiri huu utaondoa kabisa uwezekano wa mtu kutumia line zaidi ya moja bila kutambulika utambulisho wake. Pili vitambulisho vya taifa nimuhimu sana ila raia bila kusukumwa kiasi hawaendi kujiandikisha mazoezi kama haya yatasaidia sana kusambaza vitambulisho vya taifa ambavyo ni muhimu sana kwa huduma za kijamii.

Mazoezi ya usajiri mwanzo yalikuwa hovyo hovyo ilimradi tu umajaza fomu basi watu hawakagui vizuri ila uwepo wa finger print utondoa hii kitu kabisa.
 
Back
Top Bottom