Usajiri ligi kuu Tanzania,Simba yaibomoa Yanga!!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Feb 20, 2012
7,113
930
Ni kama record fulani hivi ya kuibomoa Yanga kisaikorojia.
Baada ya Yanga kumnyakua kipa wa zamani wa Simba Juma K Juma,Simba wao wamewasajiri makipa wawili wa zamani wa Yanga Yaw Berko na Ivo Mapunda ktk kukiimalisha kikosi chao.
Huku Berko akiwa na mkataba wa miezi6 Ivo kasaini mkataba wa miezi18 msimbazi wakati Juma K Juma akiwa amejifungia Yanga kwa miaka miwili.
 
Simba wana matatizo makubwa kwenye kamati yao ya usajili kwa misimu 3 hakuna walichofanya.Angalia viwango vya Chuji,Yondani,Ngasa,Barthez hawa wote viwango vimezidi kuongezeka baada ya kujiunga Yanga.
 
Simba wana matatizo makubwa kwenye kamati yao ya usajili kwa misimu 3 hakuna walichofanya.Angalia viwango vya Chuji,Yondani,Ngasa, Barthez hawa wote viwango vimezidi kuongezeka baada ya kujiunga Yanga.
Kweli kabisa, kiwango cha Barthez kimeongezeka sana, zile goli tatu ni bahati mbaya tu, na hata Juma Kaseja amesajiliwa tu hivyo hivyo, lakini atakuja kukaa benchi :becky::becky:
 
Sasa hapo Yanga imebolewa vipi?
Wakati hao wachezaji hayupo hata mmoja aliekua na mkataba na Yanga...
 
Sure, acha Yanga tubomolewe, fujo tumeanza wenyewe.
Kwani Mapunda na Berko wamehamia Simba wakitokea Yanga? Inawezekana Yanga wamefanya fujo kwa kumnyaka JKJ akiwa mbioni kusajiliwa upya Simba. Lakini Simba wamempata Berko kivyao, wakati Yanga ikiwa hata haina tena mpango naye. Kama unahisi fujo wameanza Yanga, sawa. Lakini kwa hili Simba hawajafanya fujo yoyote.
 
Kwani Mapunda na Berko wamehamia Simba wakitokea Yanga? Inawezekana Yanga wamefanya fujo kwa kumnyaka JKJ akiwa mbioni kusajiliwa upya Simba. Lakini Simba wamempata Berko kivyao, wakati Yanga ikiwa hata haina tena mpango naye. Kama unahisi fujo wameanza Yanga, sawa. Lakini kwa hili Simba hawajafanya fujo yoyote.

Mkuu hivi ni vijimambo vya watani! Nd'o utani wenyewe.
 
Mkuu hivi ni vijimambo vya watani! Nd'o utani wenyewe.
Sawa, lakini wapenzi wa Yanga utani wao haufiki Tambuka Relini! Wamefungwa vibao vitano tu na Mnyama wakatoka uwanjani huku wakiwavurumishia mitusi wachezaji wao wenyewe, seuze mimi na wewe! Chunga nao sana!
 
Ni kama record fulani hivi ya kuibomoa Yanga kisaikorojia.
Baada ya Yanga kumnyakua kipa wa zamani wa Simba Juma K Juma,Simba wao wamewasajiri makipa wawili wa zamani wa Yanga Yaw Berko na Ivo Mapunda ktk kukiimalisha kikosi chao.
Huku Berko akiwa na mkataba wa miezi6 Ivo kasaini mkataba wa miezi18 msimbazi wakati Juma K Juma akiwa amejifungia Yanga kwa miaka miwili.

Huoni hata haya kuiharibu lugha yetu tamu ya Taifa namna hii?
 
Back
Top Bottom