CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Ni kama record fulani hivi ya kuibomoa Yanga kisaikorojia.
Baada ya Yanga kumnyakua kipa wa zamani wa Simba Juma K Juma,Simba wao wamewasajiri makipa wawili wa zamani wa Yanga Yaw Berko na Ivo Mapunda ktk kukiimalisha kikosi chao.
Huku Berko akiwa na mkataba wa miezi6 Ivo kasaini mkataba wa miezi18 msimbazi wakati Juma K Juma akiwa amejifungia Yanga kwa miaka miwili.
Baada ya Yanga kumnyakua kipa wa zamani wa Simba Juma K Juma,Simba wao wamewasajiri makipa wawili wa zamani wa Yanga Yaw Berko na Ivo Mapunda ktk kukiimalisha kikosi chao.
Huku Berko akiwa na mkataba wa miezi6 Ivo kasaini mkataba wa miezi18 msimbazi wakati Juma K Juma akiwa amejifungia Yanga kwa miaka miwili.