mr vata
JF-Expert Member
- Jan 30, 2017
- 462
- 605
Sijui imekua ni fashion au vp...
Sijui wachezaji hawaaminiki kwamba watakua na ubora ule ule kwa muda mrefu au vp...
Hili suala linanikanganya kwa kweli. Kwa nini hatuoni mikataba mirefu ya wachezaji zaidi ya miaka miwili hapa tanzania?
Unakuta timu inasajili mchezaji ana miaka 20-24 lkn bado anampa mkataba wa miaka miwili, kwa nini?
Halafu ugonjwa mwingine kwenye soka letu ni kuacha wachezaji muhimu wanalize mikataba...
Hivi inakuaje mtu kama Shomari Kapombe, au Ibrahimu Ajibu, au Aishi Manula wakaachwa mpaka wakamaliza mikataba na kuondoka bure? Wachezaji tegemeo kwenye timu wanaondoka bure! Inaonekana tanzania soka si biashara ni burudani tu. Kwa mtindo huu tutafika wapi? Soka letu limejaa ubabaishaji.
Sijui wachezaji hawaaminiki kwamba watakua na ubora ule ule kwa muda mrefu au vp...
Hili suala linanikanganya kwa kweli. Kwa nini hatuoni mikataba mirefu ya wachezaji zaidi ya miaka miwili hapa tanzania?
Unakuta timu inasajili mchezaji ana miaka 20-24 lkn bado anampa mkataba wa miaka miwili, kwa nini?
Halafu ugonjwa mwingine kwenye soka letu ni kuacha wachezaji muhimu wanalize mikataba...
Hivi inakuaje mtu kama Shomari Kapombe, au Ibrahimu Ajibu, au Aishi Manula wakaachwa mpaka wakamaliza mikataba na kuondoka bure? Wachezaji tegemeo kwenye timu wanaondoka bure! Inaonekana tanzania soka si biashara ni burudani tu. Kwa mtindo huu tutafika wapi? Soka letu limejaa ubabaishaji.