Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,326
Kuna umuhimu mkubwa sana TCRA kuweka utaratibu wa wananchi kusajili simu zao zilizotumika ili ziende sokoni kwa mauzo.
Hili ni kutokana na kwamba soko la simu zikizo tumika lina changamoto nyingi sana kwa sababu wengi wana amini zimeibiwa.
Utaratibu kama huu utawezesha hata kuwa na maduka maalum ya simu zilizo tumika baada ya kupewa usajili na TCRA.
Kwa hiyo mtu akitaka kuuza simu yake atatakiwa kuonana na kitengo husika cha TCRA, ana sajili kama mmiliki halali na kisha kupeleka sokoni kwa mauzo.
Kwa namna hii serikali itapata fedha pia kwa tozo ndogo zitakazo kuwepo.
Naleta hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili ni kutokana na kwamba soko la simu zikizo tumika lina changamoto nyingi sana kwa sababu wengi wana amini zimeibiwa.
Utaratibu kama huu utawezesha hata kuwa na maduka maalum ya simu zilizo tumika baada ya kupewa usajili na TCRA.
Kwa hiyo mtu akitaka kuuza simu yake atatakiwa kuonana na kitengo husika cha TCRA, ana sajili kama mmiliki halali na kisha kupeleka sokoni kwa mauzo.
Kwa namna hii serikali itapata fedha pia kwa tozo ndogo zitakazo kuwepo.
Naleta hoja.
Sent using Jamii Forums mobile app