muda wa ukombozi
Senior Member
- Jun 28, 2013
- 127
- 116
Kuna vitu vinaendelea kuhusu usajili ambao tff wameachia dirisha hilo kuanzia 1/07/2022 hadi 30/08/2022 ambapo tunashuhudia mambo kipindi hiki.
Timu ya Yanga Afrika ilichagizwa na uchaguzi, ambapo kipindi ya kampeni kuelekea uchaguzi huo wagombea waliaidi mambo mengi kwa maendeleo ya klabu, mgombea wa uraisi Eng. Hersi aliahidi makubwa ikiwemo kujenga uwanja, lakini kufanya usajili mkubwa kwa msimu unaokuja.
Ambapo tayari Yanga washaanza kuleta wachezaji hao Gael Bigirimana ambaye miaka 10 iliyopita alikuwa ligi kuu ya uingereza, lakini pia wanamtaja Aziz ki ambaye kashawahi kucheza ligi ya hispania.
Simba nao wanahusishwa na kumrudisha Luis Miquison mchezaji wao wa zamani, ambaye amecheza mashindano makubwa ya kombe la dunia kwa vilabu.
Kwenye hili mi naona tayari kwa Afrika tushafika hatua ambayo wachezaji wakubwa wanaanza kupata tamaa ya kuja kucheza ligi ya Tanzania.
Hii itasaidia kujitangaza kwa ligi zetu ambapo tunaweza kupata wadhamini wakubwa ambao wanaweza kuingia kwenye ushindani na Azam.
Timu ya Yanga Afrika ilichagizwa na uchaguzi, ambapo kipindi ya kampeni kuelekea uchaguzi huo wagombea waliaidi mambo mengi kwa maendeleo ya klabu, mgombea wa uraisi Eng. Hersi aliahidi makubwa ikiwemo kujenga uwanja, lakini kufanya usajili mkubwa kwa msimu unaokuja.
Ambapo tayari Yanga washaanza kuleta wachezaji hao Gael Bigirimana ambaye miaka 10 iliyopita alikuwa ligi kuu ya uingereza, lakini pia wanamtaja Aziz ki ambaye kashawahi kucheza ligi ya hispania.
Simba nao wanahusishwa na kumrudisha Luis Miquison mchezaji wao wa zamani, ambaye amecheza mashindano makubwa ya kombe la dunia kwa vilabu.
Kwenye hili mi naona tayari kwa Afrika tushafika hatua ambayo wachezaji wakubwa wanaanza kupata tamaa ya kuja kucheza ligi ya Tanzania.
Hii itasaidia kujitangaza kwa ligi zetu ambapo tunaweza kupata wadhamini wakubwa ambao wanaweza kuingia kwenye ushindani na Azam.