Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,551
Habari wakuu.
Magari ya serikali yanayotoka yapo kwenye usajili wa namba STL XXXX ama yale ya miradi chini ya ufadhiri yanasajiliwa kwa namba DFPA.Vivyo hivyo kwa pikipiki.
Mbona mtaani mm naona namba D imekaa sana au namba E tayari ipo mkononi ?
Wanaume wa Dar tujuzeni.
Magari ya serikali yanayotoka yapo kwenye usajili wa namba STL XXXX ama yale ya miradi chini ya ufadhiri yanasajiliwa kwa namba DFPA.Vivyo hivyo kwa pikipiki.
Mbona mtaani mm naona namba D imekaa sana au namba E tayari ipo mkononi ?
Wanaume wa Dar tujuzeni.