evonik
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 3,998
- 5,130
Mkuu STI sijaiona umesahau au haikuwepoUmepotosha kwenye STL na STK, ST naamini zilianzia A mimi nimeanza kujitambua nimekuta kwenye STG,zikaja STH, STJ, STK then STL,
Mkuu STI sijaiona umesahau au haikuwepoUmepotosha kwenye STL na STK, ST naamini zilianzia A mimi nimeanza kujitambua nimekuta kwenye STG,zikaja STH, STJ, STK then STL,
I na O huwa hazitumiki hapa nchini kwenye number za magari sababu zina fanana na 1 na 0Mkuu STI sijaiona umesahau au haikuwepo
Kwann amebugi kuwauliza?Hahaha hapo wanaume wa Dar ndipo umebugi
Kwa sasa tupo DQ mbona sion DO ililukwa au kuna technical ishu hapa tujuzeni wadau hapa
Kwenye utaratibu wa ku-namba magari herufi I na O haziwekwi kwa sababu zinafanana na 1(moja) na 0(sifuri) hivyo wanaondoa confusion.
Plate number zetu zina digits 3 tu, acha kupotosha.
I na O huwa hazitumiki hapa nchini kwenye number za magari sababu zina fanana na 1 na 0
3M unataka kushinda kwa mafundi? Au ufahamiane na mafundi wote ?
STL?? No way....We jamaa hivipunde umenichekesha.
Ipo hivi, hayo magari ya serikali si kwamba yamefika usajili wa STL bali ni hivi
STL _secta na taasisi za lazima
STK_Sekta na taasisi za kiserikali
DFP_ Donor funded projects
SU_Shirika la umma
SM_serikali za mitaaa
N.k
Umepotosha kwenye STL na STK, ST naamini zilianzia A mimi nimeanza kujitambua nimekuta kwenye STG,zikaja STH, STJ, STK then STL,
Siyo 3MNilinunua Corolla Sprinter 5M nikaitumia 5 yrs bila shida, except normal services, tyres replacement etc... Tena Nilinunua kwa mtu
Usimlishe maneno, hajamaanisha D nzima ndo 9999, bali DAA 9999, DAB 9999, DAC 9999. Namba zetu hata 1,000 hazifiki, sembuse 9,999?? Nimekuwekea hapo juu maneno yake uyasome tenaHujamuelewa.... Mfano namba D iliyopo sasa inabidi isajili magari 9999 baada ya hapo hiyo D itakuwa imejaa wsnahamia E...
Du hii kaliKwenye E nitapambana nipate kamkebe kangu
Hizo maana yake nini mkuu, Mm zinanishindaga sanaUlishawahi kumuona mtu aliyevamia swali na kujifanya anajua sanaaaaaa,full masifa halafu akaanza kushuka swali hilo kwa mbwembwe lakini bahati mbaya hajui chochote na anashuka pumbaaaaaaa
Basi watu hao wana sifa km zako mkuu.Hv we hayo magari ya serikali umeanza kuyaona leo au?mpaka kutletea hizo tafsiri za uongo za STK na STL??
Dah aisee halafu unakazia eti "Sekta na Taasisi za Lazima" we jamaa ww komaa kutudanganya wakubwa zako.
Si unajua gari nyingi unatumbukia sio kupandaDu hii kali
Mkuu mi hiyo kwa kweli sikuwahi kuiona aisee hizo nilizoziorodhesha nimezishuhudia kwa macho yangu na hiyo STA mzee aliomba kuuziwa ilikuwa kwenye taasisi aliyokuwa akifanya kazi ilikuwa landrover 109 miaka mingi iliyopita.Mkuu STI sijaiona umesahau au haikuwepo?
Mkuu hapo chenye maana ni hizo herufi mbili za mwanzo ST= SERIKALI YA TANZANIA ila hizo herufi za mbele ni mlolongo tu wa herufi ktk kutofautisha usajili wake hazina tafsiri yoyote.Hizo maana yake nini mkuu, Mm zinanishindaga sana