shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,428
- 3,510
Wrong ni gari 999 tu kila combination ina gari 999 ni tarakimu 3.DAA
Hapo kwenye A ya kwanza lazima magari yafikie 9999 ndiyo no ishift kuwa DAB
Kwenye B lazima magari yafikie 9999 ndiyo ishift kuea DAC mfano gari yangu ni DDW 275 mpaka ilipo hapo ilihitaji mgari mengi sana yasajiliwe...ndiyo maana sasa hivi nafikiri tupo kwenye DM....