Usajili wa Lionel Messi utaifanya PSG kuwa ya moto sana

Kituuuuu

Screenshot_20210807-151430.png
 
Acheni kujipa matumaini hewa, PSG hawezi kumchukua Messi. Mahesabu yatagoma, Messi ni kama ataelekea Chelsea.
 
Hao wooote kiboko yao Ngolo Kante.
PSG ikikutana na Chelsea ni kichapo tu, hatuangali sura.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom