Mlaleo JF-Expert Member Oct 11, 2011 13,387 9,753 Aug 7, 2021 #22 Wakija Old Trafford tunawadunda tu kama kawa kama dawa
Papaa Gx JF-Expert Member Oct 10, 2016 10,083 15,657 Aug 7, 2021 #23 Acheni kujipa matumaini hewa, PSG hawezi kumchukua Messi. Mahesabu yatagoma, Messi ni kama ataelekea Chelsea.
Acheni kujipa matumaini hewa, PSG hawezi kumchukua Messi. Mahesabu yatagoma, Messi ni kama ataelekea Chelsea.
N nguvu JF-Expert Member Jun 13, 2013 21,013 19,804 Aug 7, 2021 #24 Ziroseventytwo said: PSF ndio club itakayomudu gharama za malopo ya messikwa sasa. Na hii corona sioni kama kuna club nyingine itakayoweza kumudu. Click to expand... Mzee una haraka kuliko haraka yenyewe, soma kwa makini ulichoandika
Ziroseventytwo said: PSF ndio club itakayomudu gharama za malopo ya messikwa sasa. Na hii corona sioni kama kuna club nyingine itakayoweza kumudu. Click to expand... Mzee una haraka kuliko haraka yenyewe, soma kwa makini ulichoandika
N nguvu JF-Expert Member Jun 13, 2013 21,013 19,804 Aug 7, 2021 #25 Yaani leo Ramos na Messi timu moja!!!
SN.BARRY JF-Expert Member Oct 12, 2012 4,040 8,895 Aug 7, 2021 #26 Hao wooote kiboko yao Ngolo Kante. PSG ikikutana na Chelsea ni kichapo tu, hatuangali sura.