more88
JF-Expert Member
- Apr 9, 2016
- 447
- 412
Nina line za kuweka na kutoa pesa ambazo nilinunua kwa mawakala wa mitandao husika zenye majina ambayo si yangu.
Kwa wiki kadhaa nimekuwa natumiwa sms kuzisajili kwa alama za vidole.
Nimejaribu kuuliza kama nitaweza kuzisajili jibu nililopewa ni kwamba lazima niwe na TIN NUMBER.
Mimi ni mjasiriamali mdogo ambaye nilikata kitambulisho cha mjasiriamali kile cha 20,000. Mtaji wangu ni chini ya milioni 4 kama alivyoagiza Rais.
Kama ni kweli ifikapo December 31 hizi laini za uwakala watazifunga basi hili zoezi litatuumiza sana wajasiriamali wadogo tuliojiajiri huku.
Ombi: Naomba kama itawezekana watumie hivi vitambulisho vya mjasiriamali pamoja na number ya NIDA kusajili kwa mbadala wa TIN Number kwa wajasiriamali ambao hawana TIN Number au leseni ya biashara.
Kwa wiki kadhaa nimekuwa natumiwa sms kuzisajili kwa alama za vidole.
Nimejaribu kuuliza kama nitaweza kuzisajili jibu nililopewa ni kwamba lazima niwe na TIN NUMBER.
Mimi ni mjasiriamali mdogo ambaye nilikata kitambulisho cha mjasiriamali kile cha 20,000. Mtaji wangu ni chini ya milioni 4 kama alivyoagiza Rais.
Kama ni kweli ifikapo December 31 hizi laini za uwakala watazifunga basi hili zoezi litatuumiza sana wajasiriamali wadogo tuliojiajiri huku.
Ombi: Naomba kama itawezekana watumie hivi vitambulisho vya mjasiriamali pamoja na number ya NIDA kusajili kwa mbadala wa TIN Number kwa wajasiriamali ambao hawana TIN Number au leseni ya biashara.