Mmmuuh! Nahisi hii nchi kama sisi wote siyo yetu au .......wenye nchi walishaisahau.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumeshaenda nida kawe hadi tumechoka, wakirudi January tutafuatilia tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo aaambilumi kama mwasapileDaaaaah na kweli mkuu...! Hatari sana.
Hicho kitambulisho cha ukimbizi hakionyeshi ni mkimbizi kutoka nchi gani, tunaweza kuwa na wakimbizi al-Shabaab tukadhani ni warundi, hicho cha mgeni kimeandikwa Kiswahili huyo mgeni kama hajui Kiswahili nalo ni tatizo jingineKuna vitambulisho tofauti tofauti vya kuelezea "status" ya uraia wako
Mbona walishaelezea sana NIDAView attachment 1298439View attachment 1298440
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Kiswahili sio lugha ya Taifa??Hicho kitambulisho cha ukimbizi hakionyeshi ni mkimbizi kutoka nchi gani, tunaweza kuwa na wakimbizi al-Shabaab tukadhani ni warundi, hicho cha mgeni kimeandikwa Kiswahili huyo mgeni kama hajui Kiswahili nalo ni tatizo jingine
Hadi wakimbizi wanapewa hio ID ya NIDA sema inakua na utaifa wa nchi husikaMmh kitambulisho cha uraia apewe mgeni ambaye siyo raia...?
Ila kwa nchi hii sio jambo la kushangaza kila kitu kinawezekana.
sasa wewe ukienda china ukapewa kitambulisho kimeandikwa kichina utakisomaje, hivi mtu anaekaa miezi sita akaweza soma kiswahili kwa ufasaha?Kwani Kiswahili sio lugha ya Taifa??
Unadhan Nida ndo wanapaswa kujifunza Lugha ya mgeni au mgeni anapaswa kujifunza lugha ya host(NIDA)????
Kwahiyo Wachina watakuandikia Kimeru au kikurya unachoelewa??sasa wewe ukienda china ukapewa kitambulisho kimeandikwa kichina utakisomaje, hivi mtu anaekaa miezi sita akaweza soma kiswahili kwa ufasaha?
anapewa NIDA ID for non residentKama sijaelewa hivi, ina maana mwenye permit na aliyekaa zaidi ya miezi 6 anapewa kitambulisho cha uraia na kutambulika kuwa ni raia wa Tanzania...?
Mgeni MkaziKama sijaelewa hivi, ina maana mwenye permit na aliyekaa zaidi ya miezi 6 anapewa kitambulisho cha uraia na kutambulika kuwa ni raia wa Tanzania...?
Usiniambie hata vidole vya miguu hunaHivi kwa mtu asie na vidole na alisajiliwa na nida na id anayo utaratibu kwake upoje?
Tcra ndo wangetoa mwongozo
ila hii mission yao naiona inafeli mchana kabisa kwasababu walibidi wahakikishe hivyo vitamburisho vya NIDA vinapatikana kwa angalau 98%,kwamba kila mtanzania afu ndo wangeanza na hii mission yao,
Vinginevyo wanaaribu biashara za watu tu.