Usajili wa line kwa wageni wasio Raia utaratibu ukoje?

Wageni wote, wanasajiliwa kwa kutumia passport zao za kusafiria cha msingi zisiwe expired. Kwa wale wenye work permit na waliokaa zaid ya miezi sita, kuna utaratibu nida wanatoa vitambulisho vya uraia kwa hao wageni, so wanaweza kusajiliwa kwa biometric.
vodacom wamekataa kusajili wageni kwa kutumia passport wanasema hawajaelekezwa hivyo, kwa wenye work parmit nashangazwa huo utaratibu ni siri na haueleweki.
 
Kwanini apewe kitambulisho cha uraia wakati siyo raia!?
Kuna vitambulisho tofauti tofauti vya kuelezea "status" ya uraia wako

Mbona walishaelezea sana NIDA
20191220_195221.jpeg
20191220_195208.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila tigo wanacho kipengeli kusajili kwa alama Za vidole kutumia passipoti kwa wageni tu na wameanza mwezi huu 12 sijajua kukamilisha
 
Kama sijaelewa hivi, ina maana mwenye permit na aliyekaa zaidi ya miezi 6 anapewa kitambulisho cha uraia na kutambulika kuwa ni raia wa Tanzania...?
Kile ni kitambulisho cha taifa mkuu sio kitambulisho cha kukupa uraia, nahisi kuna sehemu hujaelewa kuhusu kitambulisho cha taifa
 
Heshima kwenu wandugu.

Kama tunavyoskia uhamasishaji wa kusajili line kwa alama za vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa na mtu asiposajili line yake itafungwa ifikapo mwisho wa mwaka/mwezi.

Suala ambalo linajitokeza kuhusu zoezi hilo ni kuwa tuna wageni wengi ambao wanaingia kila siku katika nchi yetu, kuna wale wanaoingia na kutoka aidha kwa lengo la biashara au utalii, kuna familia za mabalozi, achilia mbali wale wanaofanya kazi aidha za mikataba au za kudumu, kuna wale wanaoishi nchini lakini pia sio raia na wote hawa wanategemea mawasiliano kuwasiliana na watu tofauti ndani na nje ya nchi pia.

Hao wote niliowataja ni kuwa sio raia na hawana kitambulisho cha taifa, inakuaje kuhusiana na zoezi hilo la kufungiwa line zao au kuna utaratibu gani ambao serikali yetu sikivu imeuandaa kuhakikisha hawapati usumbufu wa wao kukosa mawasiliano...?

Na je, ikatokea hiyo tarehe imeshapita kunakuwa na utaratibu gani wa wageni ambao watakuwa wanaingia nchini katika suala la kupata line za simu kwa ajili ya mawasiliano, walishafikiria hiko kitu au utaratibu uko vipi...?

Nikasema niulize ili kuweza kufahamu serikali yetu sikivu imejipanga vipi watakapofunga line za watu na je vipi baada ya kufunga line hizo taratibu gani wameandaa kwa wageni watakaoingia baada ya zoezi hilo kupita hawataweza kupata line za simu kwa ajili ya kuwasiliana na ndugu na jamaa zao...?


NAWASILISHA.

View attachment 1298159
Ndugu msajili Kuanzia LEO
tarehe 20/12/2019 usajili
utakaotumika ni kwa alama
za vidole tu.Usajili
mwingine utatumika
kusajilia wageni wenye
passport tu.
 
Heshima kwenu wandugu.

Kama tunavyoskia uhamasishaji wa kusajili line kwa alama za vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa na mtu asiposajili line yake itafungwa ifikapo mwisho wa mwaka/mwezi.

Suala ambalo linajitokeza kuhusu zoezi hilo ni kuwa tuna wageni wengi ambao wanaingia kila siku katika nchi yetu, kuna wale wanaoingia na kutoka aidha kwa lengo la biashara au utalii, kuna familia za mabalozi, achilia mbali wale wanaofanya kazi aidha za mikataba au za kudumu, kuna wale wanaoishi nchini lakini pia sio raia na wote hawa wanategemea mawasiliano kuwasiliana na watu tofauti ndani na nje ya nchi pia.

Hao wote niliowataja ni kuwa sio raia na hawana kitambulisho cha taifa, inakuaje kuhusiana na zoezi hilo la kufungiwa line zao au kuna utaratibu gani ambao serikali yetu sikivu imeuandaa kuhakikisha hawapati usumbufu wa wao kukosa mawasiliano...?

Na je, ikatokea hiyo tarehe imeshapita kunakuwa na utaratibu gani wa wageni ambao watakuwa wanaingia nchini katika suala la kupata line za simu kwa ajili ya mawasiliano, walishafikiria hiko kitu au utaratibu uko vipi...?

Nikasema niulize ili kuweza kufahamu serikali yetu sikivu imejipanga vipi watakapofunga line za watu na je vipi baada ya kufunga line hizo taratibu gani wameandaa kwa wageni watakaoingia baada ya zoezi hilo kupita hawataweza kupata line za simu kwa ajili ya kuwasiliana na ndugu na jamaa zao...?


NAWASILISHA.

View attachment 1298159
Na vipi wanafunzi wa sekondari especially madogo wa A LEVEL ambao wengi wao ni Below 18 kwamba vitambulisho sinibado wanakua hawana vigezo je hawa ndio watasubiri mpaka wafike 18 apo bado wengine ambao sio wanafunzi watasuburia wafike 18?
 
Kabisa kiongozi kwa sababu kuna maswali tata ambayo ukiyafikiria kwa kina mtu unakosa majibu.

Na hata hao wahusika sidhani kama walishakaa chini wakafikiria suala hilo...!

Hao raia tu kukidhi hivyo vigezo bado ni shughuli, he inakuaje kwa wageni ambao hawana hivyo vitu...?
Usha ambiwa kuna Jiwe
 
Back
Top Bottom