bowlibo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 3,206
- 2,899
- Thread starter
- #21
EbwanaeeUtapeli hautaisha milele.
Unaweza ukasajili line kwa wakala akakuambia imegoma. Utambishia?
Lakini kumbe ilikubali then hiyo line akaenda kupewa mtu mwingine.
Nmezungumza sababu nmeshakiona hicho kitu mara kadhaa.
Kwa hiyo akisema chochote kinachoonyesha utata niite polis maana hakuna namna nyingine