bowlibo
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 3,206
- 2,899
Wadau habari za wakati huu.
Naenda kwenye mada moja kwa moja. Leo nimepokea jumbe zenye maana na angalizo jumuishi kama hiyo attachment inavyojieleza.
Sasa swali ninalojiuliza ni kwamba iwapo mimi nimeshajisajili kwa kuchukuliwa alama za vidole kwa nini mtu mwingine ajisajili kwa kutumia namba yangu ya Nida system ishindwe kumreject na hapohapo hatua za awali za kisheria zichukue mkondo wake?
Nawasilisha, ila kama kweli namba moja ya NIDA inaweza kusajili watu wawili basi system hiyo ifanyiwe overhaul.
Karibuni
Naenda kwenye mada moja kwa moja. Leo nimepokea jumbe zenye maana na angalizo jumuishi kama hiyo attachment inavyojieleza.
Sasa swali ninalojiuliza ni kwamba iwapo mimi nimeshajisajili kwa kuchukuliwa alama za vidole kwa nini mtu mwingine ajisajili kwa kutumia namba yangu ya Nida system ishindwe kumreject na hapohapo hatua za awali za kisheria zichukue mkondo wake?
Nawasilisha, ila kama kweli namba moja ya NIDA inaweza kusajili watu wawili basi system hiyo ifanyiwe overhaul.
Karibuni