Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Ada ya kusajili vyama vipiya vya siasa nchini, imepandishwa kwa asilimia 2000 kuanzia leo!.
Ongezeko hilo limetangwa leo asubuhi na Msajili wa Vyama, John Tendwa, kuwa ada ya usajili wa muda imepanda toka 25,000 mpaka 500,000 wakati usajili wa kudumu imepanda toka 50,000 mpaka Sh.1,000,000. Hata hivyo Msajili hakutoa sababu za ongezeko hilo.
Source TBC News za mchana.
Ongezeko hilo limetangwa leo asubuhi na Msajili wa Vyama, John Tendwa, kuwa ada ya usajili wa muda imepanda toka 25,000 mpaka 500,000 wakati usajili wa kudumu imepanda toka 50,000 mpaka Sh.1,000,000. Hata hivyo Msajili hakutoa sababu za ongezeko hilo.
Source TBC News za mchana.