Habari ya Niyonzima kuachana na Yanga imeniumiza sana bora hata angesaini timu nyingine tofauti na mtani wetu. Hii ni sawa na kumuuacha mwanamke aolewe na rafiki yako huku ukimpenda but sio mbaya tutampata kiungo mwingine pengine akawa zaidi yake. Maisha mema Niyonzima huko uendako