EMMANUEL JASIRI
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 127
- 62
Brella mmetutangazia mfumo mpya wa usajili, sisi ambao tulijisajili tumetakiwa kuweka kwa upya taarifa zetu,.
Wengine wetu hasa mimi binafsi niliweka namba ya leseni yangu ya udereva hapo awali, sasa napoenda kujaza upya taarifa zangu nadaiwa Kitambulisho cha Taifa ambacho wengi wetu hatuja kabidhiwa bado.
Mimi binafsi NIDA wamechua taarifa zangu na picha lakini bado hawajanipa kitambulisho cha Taifa, kilicho nisikitisha zaidi ukipiga simu Brella wanadai mfumo unataka hivyo hawana msaada ila niwapigie NIDA, nikipiga NIDA simu haipokelewi.
Hivi kweli kwa Mtanzania mwenye nia ya kupata mafanikio kwa mfumo huu ambao anapotaka msaada wa haraka kwa mambo muhimu kama haya halafu simu yake haipokelewi, kweli ni changamoto iliyo nihuzunisha, sisi ambao hatuja kabidhiwa vitambulisho vya Taifa halafu tunadaiwa hatma yetu ni nini?
Shughuli zetu zinawategemea ninyi Brella na NIDA tusaidieni huku hali maisha yetu yanawategea ninyi.
Naomba majibu toka kwenu.
Wengine wetu hasa mimi binafsi niliweka namba ya leseni yangu ya udereva hapo awali, sasa napoenda kujaza upya taarifa zangu nadaiwa Kitambulisho cha Taifa ambacho wengi wetu hatuja kabidhiwa bado.
Mimi binafsi NIDA wamechua taarifa zangu na picha lakini bado hawajanipa kitambulisho cha Taifa, kilicho nisikitisha zaidi ukipiga simu Brella wanadai mfumo unataka hivyo hawana msaada ila niwapigie NIDA, nikipiga NIDA simu haipokelewi.
Hivi kweli kwa Mtanzania mwenye nia ya kupata mafanikio kwa mfumo huu ambao anapotaka msaada wa haraka kwa mambo muhimu kama haya halafu simu yake haipokelewi, kweli ni changamoto iliyo nihuzunisha, sisi ambao hatuja kabidhiwa vitambulisho vya Taifa halafu tunadaiwa hatma yetu ni nini?
Shughuli zetu zinawategemea ninyi Brella na NIDA tusaidieni huku hali maisha yetu yanawategea ninyi.
Naomba majibu toka kwenu.