Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,681
- 3,065
Baada ya kufunguliwa dirisha la usajili timu mbalimbali zimefanya sajili ili kuimarisha vikosi vyao. Kuna baadhi ya team zimefaidika na kupata wachezaji baada ya janga la Corona kutokea .
Hizi hapa ni sajili ambazo mimi naona kama isingekua Corona zisingetokea sababu janga la Corona limeacha team nyingi zikiwa hoehae kifedha hivo zingine kuuza wachezaji bila kupenda.
1. Messi kwenda PSG
2.Cristiano kwenda Man u
3.Sancho kwenda MAN U
4.Lukaku kwenda CHELSEA
5.Grealish kwenda Man City
6.Ramos kwenda PSG
7.Miquisone kwenda Al Ahly.
Tumsubirie Mbappe kwenda Madrid pia.
Manara kwenda Yanga pia ni usajili .
Hizi hapa ni sajili ambazo mimi naona kama isingekua Corona zisingetokea sababu janga la Corona limeacha team nyingi zikiwa hoehae kifedha hivo zingine kuuza wachezaji bila kupenda.
1. Messi kwenda PSG
2.Cristiano kwenda Man u
3.Sancho kwenda MAN U
4.Lukaku kwenda CHELSEA
5.Grealish kwenda Man City
6.Ramos kwenda PSG
7.Miquisone kwenda Al Ahly.
Tumsubirie Mbappe kwenda Madrid pia.
Manara kwenda Yanga pia ni usajili .