Wanajamvi niwape habari ya usaili ulioitishwa na SUA kuwapata tutorial assistants katika vitivo kadhaa kwenye campus yao ya Mizengo Pinda.
Majuzi ndio nilianza kuhisi mbele kuna mizengwe baada ya kutolewa orodha ya wanaokutwa kitengo cha wildlife Management.
Idadi ya ya watu 32 kuitwa kwa ajili ya post 1 haikunisumbua, bali jina la mmoja ambaye ni mwanafunzi wa masters anayesoma SUA kwa sasa.
Ikumbukwe post tulioitiwa atakaefaulu baadae itabidi akasomeshwe masters. Saa 2 leo asubuhi muda wa kuanza interview, wahusika hawajafika. Saa 4.30 tumeanza usaili namwona bwana wa masters nae yupo. Ilikuwa paper ya saa 1 na nusu.
Matokeo tuliambiwa saa 9. Mpaka saa10.30 ndio anakuja bw mmoja, anatoa kikaratasi mfukoni na kutangaza majina 5 ya waliofaulu, wote ni wahitimu wa SUA na wa masters yumo. Naamini hata hao 4 ni wasindikizaji.
Hata hivo nimeiona Sumbawanga kwa mara ya kwanza.
Majuzi ndio nilianza kuhisi mbele kuna mizengwe baada ya kutolewa orodha ya wanaokutwa kitengo cha wildlife Management.
Idadi ya ya watu 32 kuitwa kwa ajili ya post 1 haikunisumbua, bali jina la mmoja ambaye ni mwanafunzi wa masters anayesoma SUA kwa sasa.
Ikumbukwe post tulioitiwa atakaefaulu baadae itabidi akasomeshwe masters. Saa 2 leo asubuhi muda wa kuanza interview, wahusika hawajafika. Saa 4.30 tumeanza usaili namwona bwana wa masters nae yupo. Ilikuwa paper ya saa 1 na nusu.
Matokeo tuliambiwa saa 9. Mpaka saa10.30 ndio anakuja bw mmoja, anatoa kikaratasi mfukoni na kutangaza majina 5 ya waliofaulu, wote ni wahitimu wa SUA na wa masters yumo. Naamini hata hao 4 ni wasindikizaji.
Hata hivo nimeiona Sumbawanga kwa mara ya kwanza.