Jay Milionea
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,185
- 154
Jamani wataalam nambien kwa upande wenu mambo yalivyokuwa kwenye practical leo maana jana DUCE ilikuwa kigongo leo tena duu balaa. Kama ulitegea darasani leo kuumbuka ilikuwa nje nje.
Sehemu kubwa nimeshuhudia jana na washikaji walikuwa wanasema paper kigongo. Duu km ulitegea darasani na zaidi ukaririshwa mambo unajitoa mapemaaaaa. Paper na practical za eGA hutoboi kaka, kama vipi piga kipindi upya ujipange hawa jamaa (eGA) hawajawahi kumuacha mtu salama. Hujui mambo jua kabisa huwezi kanyaga kwao hata kwa dawa.
mkuu kwani ulitaka maswali ya wapiduuh hivi interview za utumishi ni huwaga maswali ya darasani kumbe??