Bepari la bariadi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2016
- 420
- 673
Ungekuwa na uwezo wa kuruhusu ubongo wako ufafanue wenyewe pasi nakuelemewa na mlengo ulipo.ukaweka mbali ushangiliaji na ushabiki.hakika ungenielewa ninacho kimaanisha.hii post imekuingia vilivyo imekukereketa imedadavuliliwa vizuri. ukawa kuna vichwa hatari! hakuna mccm anaweza ipinga zaidi ya kumwaga matusi
Sina uhakika kama waliberali wenzio wako hivyo.unless umejipachika jina tu.mara mia ukajiita mmconsevative wa ufipa mshikwa masikio na mpuliza tarumbeta.