Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
Je: polisi walifanya makosa kumkamata? Kama walifanya makosa, kwanini hawajaambiwa hadharani kwamba hilo sio kosa na msirudie tena kuwakamata wasanii wanaoikosoa serikali
Kwani ni lazima waambiewe hadharani?
Hawawezi kuonywa kiofisi bila kuambiwa hadharani?
Nyie manyumbu hamna akili kabisa.