Jamani yaani hawa Zuberi ni tatizo kama utapotrlewa na mzigo.
Basi mwezi wa kumi si nikatumiwa mzigo toka Dar
Yaani mzigo ulifuatiliwa mwezi mzima na haukupatikana
Boss wao yule zuberi mwenyewe ana kiburi cha kimataifa! Hana ushirikiano kabisaaaa
Nawashauri mnapotumia mabasi ya zuberi kutuma mizigo yenu muwe mmeshajitoa muhanga kama ukipotea itakua historia
Na nasikia kuna mchezo wanafanya hao ma agent kule Dar
Kuna agrnt mmoja pale Kariakoo anaitwa deo huyu ukituma mzigo bila kulipa pesa eti utalipiwa na mpokeaji huwa anaificha mizigo na kuiuza
Yaani hawa jamaa ni tatizo kubwa sana.
Basi mwezi wa kumi si nikatumiwa mzigo toka Dar
Yaani mzigo ulifuatiliwa mwezi mzima na haukupatikana
Boss wao yule zuberi mwenyewe ana kiburi cha kimataifa! Hana ushirikiano kabisaaaa
Nawashauri mnapotumia mabasi ya zuberi kutuma mizigo yenu muwe mmeshajitoa muhanga kama ukipotea itakua historia
Na nasikia kuna mchezo wanafanya hao ma agent kule Dar
Kuna agrnt mmoja pale Kariakoo anaitwa deo huyu ukituma mzigo bila kulipa pesa eti utalipiwa na mpokeaji huwa anaificha mizigo na kuiuza
Yaani hawa jamaa ni tatizo kubwa sana.