Niko hapa Himo usiku huu, Fuso kadhaa (zapata 30 hivi ) zinajiandaa kupeleka mahindi kupitia Kitobo eneo la kusini mashariki ya mji huu na nyingine zikipita njia ya Rombo na Holili. Serikali imesahau kwamba mahindi yamesafirishwa kwa takriban mwezi na nusu sasa mahindi yakianikwa na kupimwa mwa mizani ili kupatikana kilo 100. Wapo wahudumu wa kijiji hiki wanaojishughulisha na kukusanya ushuru ingawa siyo rasmi na si OCS wala ngazi yoyote inayoliona hili la kuondoa nafaka kwa kasi. Tayari hali ya njaa itajiri ingawa ni wazi hata soko la Himo sado ya mahindi sasa ni shilingi 2300 na raia wakishindwa kumudu ilhali majirani wanaofika sokoni hapa Jumatatu na Alhamisi wakishambulia bidhaa hii kwani wana uwezo wa soko. Wana JF naomba niwataarifu hili jambo:angry:
sasa ninaomba nikutaarifu wewe , ni kwamba mambo haya yalishaanza kutendeka miaka kumi iliyopita.
do you support or condemn ....?
Niko hapa Himo usiku huu, Fuso kadhaa (zapata 30 hivi ) zinajiandaa kupeleka mahindi kupitia Kitobo eneo la kusini mashariki ya mji huu na nyingine zikipita njia ya Rombo na Holili. Serikali imesahau kwamba mahindi yamesafirishwa kwa takriban mwezi na nusu sasa mahindi yakianikwa na kupimwa mwa mizani ili kupatikana kilo 100. Wapo wahudumu wa kijiji hiki wanaojishughulisha na kukusanya ushuru ingawa siyo rasmi na si OCS wala ngazi yoyote inayoliona hili la kuondoa nafaka kwa kasi. Tayari hali ya njaa itajiri ingawa ni wazi hata soko la Himo sado ya mahindi sasa ni shilingi 2300 na raia wakishindwa kumudu ilhali majirani wanaofika sokoni hapa Jumatatu na Alhamisi wakishambulia bidhaa hii kwani wana uwezo wa soko. Wana JF naomba niwataarifu hili jambo:angry:
hivi bado wanaruhusu kupeleka mahindi nje!!!!