Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtangoja milele hayo m aisha bora.
Kina low acer wanajenga maghorofa ya mabilioni kila kukicha.
Sasa we jiulize, wenyewe waende wapi ili kuwapisha nyie myachukue hayo maisha bora?
Tatizo sio mwenye gari hiyo ndo public transport ya eneo husika na wanalitegemea ilo gari sana tu kwa usafiri...
Tatizo sio mwenye gari hiyo ndo public transport ya eneo husika na wanalitegemea ilo gari sana tu kwa usafiri...
hahahaha sina mbavu julIlo gari utadhani limefanyiwa surgery kwa jinsi lilivyoshonwa!!!
Umecheki namba zake?? hata kodi na bima halilipiwi...full mifaida!
haya ngoja nianze..Jamani maisha bora yataletwa na mtu husika jinsi atakavyopangilia mipango yake. Siku ina masaa 24, ya kulala ni 8 yanayobaki unayatumia kuzalisha au umbeya, kucheza bao, kutembelea jamaa na marafiki huko unangojea maisha bora!!!!
Jamani maisha bora yataletwa na mtu husika jinsi atakavyopangilia mipango yake. Siku ina masaa 24, ya kulala ni 8 yanayobaki unayatumia kuzalisha au umbeya, kucheza bao, kutembelea jamaa na marafiki huko unangojea maisha bora!!!!