mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Watanzania wenzangu, naomba kufahamu ubora wa treni ya Tazara kwa waliosafiri nalo hivi karibuni.
Natarajia kusafiri kwenda Mbeya hivyo naomba kujulishwabdaraja gani nzuri kusafiria, usalama, nauli na muda unaotumika kwa safari.
Na kama kuna ziada naomba pia nifahamishwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Natarajia kusafiri kwenda Mbeya hivyo naomba kujulishwabdaraja gani nzuri kusafiria, usalama, nauli na muda unaotumika kwa safari.
Na kama kuna ziada naomba pia nifahamishwe
Sent using Jamii Forums mobile app