N ninjaa Member Sep 4, 2016 8 1 Dec 21, 2016 #1 Za asubuhi jamani, Ningependa kuuliza usafiri pale Ubungo kwenda Mbeya sio wa shida, maana nataka nisafiri Ijumaa. Kuna tetesi mabasi yanajaa sana kwenda huko ni kweli? Mwenye taarifa labda aliyeenda kukata tiketi hivi karibuni anijuze.
Za asubuhi jamani, Ningependa kuuliza usafiri pale Ubungo kwenda Mbeya sio wa shida, maana nataka nisafiri Ijumaa. Kuna tetesi mabasi yanajaa sana kwenda huko ni kweli? Mwenye taarifa labda aliyeenda kukata tiketi hivi karibuni anijuze.
kuduman201036 JF-Expert Member Aug 26, 2015 4,057 2,163 Dec 21, 2016 #3 >>. CHUKUA daladala UTAFIKA fasta >>
TADPOLE JF-Expert Member Nov 18, 2015 2,794 9,035 Dec 21, 2016 #4 tuma pesa kwa namba hii 0715653610 ukija utaikuta tiketi yako getini pale niamini mkuu!